Sawa,kaulize ni kwa kiasi gani hayo makapuni yategemea kujiendesha kwa kuuza mageziti.Kuna kitu kinaitwa "business model" ya print media.hii ni elimu nyingine.Kasi gani? Mpaka sasa Newyork times na Washington post yana patikana kwa hardcopy tena kwa wingi sana,
Maendeleo hayana chama au nasema uongo ndugu zangu,nileteeni gwajima
Hiyo biashara isingekuwa inalipa Jeff angeachana nayo.Kasi gani? Mpaka sasa Newyork times na Washington post yana patikana kwa hardcopy tena kwa wingi sana,
Mi juzi Kati nilinunua nikasahau kulisomaKusema ukweli, sikumbuki ni lini mara ya mwisho nimenunua gazeti mtaani !
Yaani SheGongo baada ya kupata ubunge ameamua kuacha kuuza magazeti? Sasa wamama watafungia vitumbua/maandazi/mihogo/viazi na nini?
Kuanzia Januari Mosi, 2021 magazeti pendwa yote ya Global Publishers yatapatikana kupitia mtandaoni pekee.
Hakikisha una Dowload Application yako ya Global Publishers sasa ili ujisomee hadithi uzipendazo na habari za magazeti ya Uwazi, Ijumaa Wikienda, Risasi na Amani BURE kwa mwezi mzima!
Baada ya OFA hii, utayasoma kwa bei rahisi ya shilingi 300 tu kwa nakala popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania, kupitia Global App au website
TeknolojiaMbio za teknolojia
Usipoenda nayo hiari itakuzoa na kukubeba kwa lazima
Zipo youtube za kutosha, tafuta ya mwezi wa nane mwishoni hadi wa tisa mwanzoniKama Una link ya Mwakasege kuhusu msimu mpya iweke please
Kuanzia Januari Mosi, 2021 magazeti pendwa yote ya Global Publishers yatapatikana kupitia mtandaoni pekee.
Hakikisha una Dowload Application yako ya Global Publishers sasa ili ujisomee hadithi uzipendazo na habari za magazeti ya Uwazi, Ijumaa Wikienda, Risasi na Amani BURE kwa mwezi mzima!
Baada ya OFA hii, utayasoma kwa bei rahisi ya shilingi 300 tu kwa nakala popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania, kupitia Global App au website