Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 270
Kila siku utaona barabara kisiwani mafia inajengwa, baya zaidi inajengwa kwa kutumia dongo, ikija mvua kidogo inchimbika na baadae kampuni inachukua fedha na kujenga kwa dongo jepes. zaidi ya miak 15 kazi ndio hiyo huku ammmilion ya fedha yakiteketea. kampuni hiyo ni ya nani au ndio ya mzee wa EPA. MWENYE MCHANGO ATUSAIDIE