Kampuni ya Apple yaiba features kutoka Android, Google na Microsoft

Kampuni ya Apple yaiba features kutoka Android, Google na Microsoft

Nokia kuua OS ya Symbian walaamiwe sana, mpaka sasa hakuna phone OS niliyoikubali kama Symbian OS

Device zilikuwa powerfull lakini zilikuwa slow.
in apps waliwin sana we can call it dead android OS.
 
Device zilikuwa powerfull lakini zilikuwa slow.
in apps waliwin sana we can call it dead android OS.
Device zilikuwa powerful kivipi mkuu!!? mfano mdogo Nokia C7 ilikuwa na 256MB RAM, 680 MHz ARM 11 CPU na bado device ilikuwa ina-run smooth. Au wewe unaposema device zilkuwa powerful unamaanisha nini?
 
Device zilikuwa powerful kivipi mkuu!!? mfano mdogo Nokia C7 ilikuwa na 256MB RAM, 680 MHz ARM 11 CPU na bado device ilikuwa ina-run smooth. Au wewe unaposema device zilkuwa powerful unamaanisha nini?

I mean stable.
Nasema zilikuwa slow tukifanya comparison na our nowdays smartphone.

i'd been Nokia fan before they done a huge mistake of kicking out SyimbianOS.
 
GSM nao wanakubaliana kwamba Simon ilikuwa ndiyo the first smartphone.
angalia hapa The world’s first smartphone is now two decades old - GSMArena.com news

walitoa habari yenye heading kwamba Simon ni the first smartphone ikiwa inasheherekea miaka 20
nimesema hapo juu ni opinion tu kama unaamini simu ambayo haina browser ni smartphone then its up to you. wapo wanaoamini ilikuwa smartphone na sana ni sababu ya touchscreen. kwenye ibm simon hata ulikuwa huwezi kutengeneza file la word au excel.



Huu ni uongo, mana Wikipedia wenyewe ulionipa hiyo link wanadai ulikuwa unaweza kutuma email, jaribu kuwa unazisoma vizuri link zako ambazo huwa unazitoa, hii itakusaidia sana.


Wikipedia - Iaddition to its ability to make and receive cellular phone calls, Simon was also able to send and receive faxes , e-mails and cellular pages . Simon featured many applications including an address book, calendar, appointment scheduler, calculator, world time clock, electronic note pad, handwritten annotations and standard and predictive stylus input screen keyboards.


feature zote hizo kaka bila browser haiifanyi iwe smartphone. nikuulize swali nokia asha haiwezi fanya hayo mambo asha ni smartphone? na ukumbuke ibm simon ilikuwa uinategemea dock ambayo ni weakness nyengine kubwa, inafanana na computer zaidi kuliko simu

simon-pc.jpg

pia nakupa assignment uniambie ilikuwa inareceive vipi hizo cellular page

GSMhistory na Arena wana uhusiano, kwahiyo nivip watoe habari kwamba first word smartphone inatimiza miaka 20 ? ambayo ni simon unayoipinga hapa.

kaka gsmarena ni kampuni ya bulgaria huko wakati gsmhistory imetengenezwa na prof mmoja mkali sana anaitwa stephen temple toka uingereza. jamaa ameshiriki kwenye mapinduzi ya gsm, ni mmoja wa watengenezaji wa dvb (kama una ungo au king'amuzi you owe him) na mambo mengine kibao msome zaidi hapa

About | Stephen Temple
 
I mean stable.
Nasema zilikuwa slow tukifanya comparison na our nowdays smartphone.

i'd been Nokia fan before they done a huge mistake of kicking out SyimbianOS.
makes it even worse when they sold it to Microsoft
 
nimesema hapo juu ni opinion tu kama unaamini simu ambayo haina browser ni smartphone then its up to you.

Its up to me, ndio lakini usi dosagree from reality.

wapo wanaoamini ilikuwa smartphone na sana ni sababu ya touchscreen.

Ni watoto ndio wenye imani hii, mana ingekuwa hivi nokia e5, e71, n73 nk zisingekuwa smartphone.

kwenye ibm simon hata ulikuwa huwezi kutengeneza file la word au excel.

Sasa hapa una compare na simu za siku hz, na hili ndilo tatizo, smartphone sio kwamba inaweza kufanya mambo yote ambayo pc inafanya.
kwa kipindikile iliyokuwa inayafanya ilikuwa ni tosha sana kuiita smartphone.
umesema pale kuwa ilikuwa haiwezi kutuma email, sasa umejua kuwa ulikuwa muongo, na hayo ni baadhi tu ya mambo ambayo yaliifanya iitwe smartphone.
simaanishi kwamba kila simu inayotuma email ni smartphone, ila smartphone inatuma email.

feature zote hizo kaka bila browser haiifanyi iwe smartphone. nikuulize swali nokia asha haiwezi fanya hayo mambo asha ni smartphone?

Asha ni feature phone, jiulize mwenyewe kwann haikuitwa smartphone, na iliweza baadhi ya iliyofanya simon.
na ndilo tatizo lakufanya comparison ya simon na simu za siku hz.

na ukumbuke ibm simon ilikuwa uinategemea dock ambayo ni weakness nyengine kubwa, inafanana na computer zaidi kuliko simu

simon-pc.jpg

pia nakupa assignment uniambie ilikuwa inareceive vipi hizo cellular page

Muda wakukaa kugoogle kuhusu hili sina, mana wote hatujawahi kuigusa.
chamsingi ni kwamba link uliyotoa imesema haya, tatizo lako ni kutosoma vizur link unazotoa.


kaka gsmarena ni kampuni ya bulgaria huko wakati gsmhistory imetengenezwa na prof mmoja mkali sana anaitwa stephen temple toka uingereza. jamaa ameshiriki kwenye mapinduzi ya gsm, ni mmoja wa watengenezaji wa dvb (kama una ungo au king'amuzi you owe him) na mambo mengine kibao msome zaidi hapa

About | Stephen Temple

Wote si ni GSM lakini kama ulivyosema pale juu, ni sawa na tuseme kama alivyo microsoft na skype au fb na whatsapp.
 
Its up to me, ndio lakini usi dosagree from reality.
sisi ni binadamu tuna akili za kureason si kila tunachoambiwa tunatakiwa kukikubali bila kufikiria. kuna watu wanasema iphone ndio smartphone ya kwanza wewe umepinga kwa reason zako na mimi napinga kwa reason zangu kuwa ibm simon haikuwa smartphone




Sasa hapa una compare na simu za siku hz, na hili ndilo tatizo, smartphone sio kwamba inaweza kufanya mambo yote ambayo pc inafanya.
kwa kipindikile iliyokuwa inayafanya ilikuwa ni tosha sana kuiita smartphone.
umesema pale kuwa ilikuwa haiwezi kutuma email, sasa umejua kuwa ulikuwa muongo, na hayo ni baadhi tu ya mambo ambayo yaliifanya iitwe smartphone.
simaanishi kwamba kila simu inayotuma email ni smartphone, ila smartphone inatuma email.
tofauti kubwa ya smartphone na feature phone ni kwamba feature phone haziwezi kujiongezea uwezo tofauti na vitu inavyokuja navyo, wakati smartphone inajiongezea uwezo. mfano nokia ya kitochi na galaxy s6 zote hazina uwezo wa kutafuta satelite kwa ajili ya mafundi ungo ukizinunua, lakini mwenye s6 yeye ataenda playstore atadownload app na kujipa uwezo huo wakati wa kitochi hawezi.

same kwa ibm yenyewe haikuwa na uwezo wa kujiongezea chochote inavyokuja navyo ndio hivyo hivyo, na ukumbuke kipindi cha miaka ya 90 term smartphone haikuwepo kabisa.tunachofanya hapa na duniani kote ni kujaribu kurudisha muda nyuma kurelate kama zile simu za zamani zilikuwa tayari zimefika level ya smartphone.





Muda wakukaa kugoogle kuhusu hili sina, mana wote hatujawahi kuigusa.
chamsingi ni kwamba link uliyotoa imesema haya, tatizo lako ni kutosoma vizur link unazotoa.
mi nimesema haina browser hivyo hutaweza fanya mengi. yes inakuja na mail app je akitoka email provider mwengine anaetumia technology tofauti na huna browser ya kudownload app ya huyo provider mpya utafanya nini? tutazunguka kule na huku ila utaruddi pale pale bila browser huwezi kuwa smart.



Wote si ni GSM lakini kama ulivyosema pale juu, ni sawa na tuseme kama alivyo microsoft na skype au fb na whatsapp.
nahisi hata maana ya gsm hujui ni nini. gsm maana yake ni global system for mobile communication. ni hizi teknolojia tunazoita 2g, 3g, 4g. haimaanishi watu wote wanaotumia neno gsm basi wote ni ndugu.

unachosema wewe ni kama jamiiforums, mwanahalisiforums, maishaforums na mzalendoforums zote ni za mtu mmoja sababu zina neno forums kwa mbele.

gsmarena kama nilivyokwambia ni website ya bulgaria na gsmhistory imetengenezwa na prof wa uingereza ambaye ameshiriki kwenye mapinduzi haya ya gsm yaani 2g, 3g na 4g.
 
Tuacheni masihara jamani iphone ni tamu balaa mwaka juzi nilitumiaga 3gs aiseee simu ilikua vizuri sana space haijai nilijaza album kibao na ilikua na 16 GB na nilikua si hofii kukosa space za vitu lakini sasa hivi nina Motorola ina 16GB internal memory na 8GB memory card lakini nikiwa na surf net nadownload nyimbo kadhaa basi space inakwisha mpaka ufanye optimization inanikera sana ngoja nijichangenirudi iphone 6
 
kuwa ibm simon haikuwa smartphone

Hili swala ni dunia nzima inalitambua, na ni swala ambalo halipingiki with word most validated facts.

yofauti kubwa ya smartphone na feature phone ni kwamba feature phone haziwezi kujiongezea uwezo tofauti na vitu inavyokuja navyo, wakati smartphone inajiongezea uwezo.

same kwa ibm yenyewe haikuwa na uwezo wa kujiongezea chochote inavyokuja navyo ndio hivyo hivyo,

Maisha yangu yote niliyoishi ndani ya teknolojia ninachofahamu kuhusu tofauti ya smartphone na feature phone, only ni computing ability, yaani smartphone ina more advanced computing ability.
hizo habari zakujiongeza siwezi kuzikubali.


na ukumbuke kipindi cha miaka ya 90 term smartphone haikuwepo kabisa.

Hapa unadanganya tena, rejea maelezo yangu pale juu Wikipedia wamesema ni device gani ilianza kuwa marketed as smartphone, kwenye post niliyomquote Dreson4.
Ni miaka hiyo hiyo ya tisini, usichanganye hisia binafsi bila kuwa na validation.


tunachofanya hapa na duniani kote ni kujaribu kurudisha muda nyuma kurelate kama zile simu za zamani zilikuwa tayari zimefika level ya smartphone.

Na ziliitwa smartphone.


mi nimesema haina browser hivyo hutaweza fanya mengi. yes inakuja na mail app je akitoka email provider mwengine anaetumia technology tofauti na huna browser ya kudownload app ya huyo provider mpya utafanya nini? tutazunguka kule na huku ila utaruddi pale pale bila browser huwezi kuwa smart.

Kwa miaka ile walivyokaa watu wakaona kabisa ilifaa kuitwa hivyo, mana iliwezafungua cellular pages, ila mi muda wakusearch ilifunguaje hizo page sina, mana Wikipedia wamesema basi inatosha.


unachosema wewe ni kama jamiiforums, mwanahalisiforums, maishaforums na mzalendoforums zote ni za mtu mmoja sababu zina neno forums kwa mbele.

gsmarena kama nilivyokwambia ni website ya bulgaria na gsmhistory imetengenezwa na prof wa uingereza ambaye ameshiriki kwenye mapinduzi haya ya gsm yaani 2g, 3g na 4g.


Nimekujibu kulingana na wewe ulivyotoa facts ya hiyo historical personal site kuwa GSM,
inawezekana ndiyo sielewi maana ya gsm ila niachie mimi binafsi.
Ishu itakayoendelea hapa ni hypocrisy way of defending personal interest with invalid facts kama nilivyotangulia kusema pale juu kwamba jibu halitapatikana as always it has been seen.
Ila simon kama inavyotambulika na dunia kwamba ni the first smartphone then mimi nitakubaliana nao kama watalinganisha na miaka ile.

=====================================
 
Hili swala ni dunia nzima inalitambua, na ni swala ambalo halipingiki with word most validated facts.
western media unamaanisha ndio dunia? nimekupa link hapo juu mwanzo mwisho inaelezea communicator muulize mtu yoyote duniani simu bila browser na mobile data inaweza kuwa smart? wewe mtu mzima unafikiri na unaelewa jibu lipo wazi hapo.



Maisha yangu yote niliyoishi ndani ya teknolojia ninachofahamu kuhusu tofauti ya smartphone na feature phone, only ni computing ability, yaani smartphone ina more advanced computing ability.
hizo habari zakujiongeza siwezi kuzikubali.
then futa hio dhana sababu even computer yenye xeon core 18 na ram 512gb bila kuwa na software ni useless na haiwezi kuwa smart. na ili iwe na software inabidi kuwe na means za developer kutengeneza ili mtu aweze kuziweka hizo software. inamaana gani kuwa na computing ability bila kuwa smart?





Hapa unadanganya tena, rejea maelezo yangu pale juu Wikipedia wamesema ni device gani ilianza kuwa marketed as smartphone, kwenye post niliyomquote Dreson4.
Ni miaka hiyo hiyo ya tisini, usichanganye hisia binafsi bila kuwa na validation.

angalia unavyojichanganya si wewe mwenyewe umesema smartphone zimeanza miaka ya 2000? mbona hapo unanipinga mimi au unaona raha tu kupinga? hii ni quote yako

In early 2000, the Ericsson R380 was released by Ericsson Mobile Communications, and was the first device marketed as a "smartphone".
It combined the functions of a mobile phone and a PDA, supported limited web browsing with a resistive touchscreen utilizing a stylus .

In early 2001, Palm, Inc. introduced the Kyocera 6035 , which combined a PDA with a mobile phone and operated on Verizon . It also supported limited web browsing.

Smartphone before Android, iOS and BlackBerry, typically ran on Symbian , which was originally developed by Psion. It was the world's most widely used smartphone operating system until the last quarter of 2010.

Smartphone - Wikipedia, the free encyclopedia

Ndivyo Wikipedia inavyoniambia.

sasa nikuelewe vipi ziliaza miaka ya tisini au mwanzoni mwa 2000 eka fact zako sawa








Kwa miaka ile walivyokaa watu wakaona kabisa ilifaa kuitwa hivyo, mana iliwezafungua cellular pages, ila mi muda wakusearch ilifunguaje hizo page sina, mana Wikipedia wamesema basi inatosha.
haikuitwa miaka hio hebu elewa kaka smartphone zimeanza kuitwa miaka ya 2000 hakukuwa na smartphone miaka ya 90 hivyo tunachofanya sasa hivi na inachofanya dunia ni kurelate tu simu za miaka ya 90 zilikuwa advance kiasi gani na kama zinadeserve kuitwa smartphonr




Nimekujibu kulingana na wewe ulivyotoa facts ya hiyo historical personal site kuwa GSM,
inawezekana ndiyo sielewi maana ya gsm ila niachie mimi binafsi.
Ishu itakayoendelea hapa ni hypocrisy way of defending personal interest with invalid facts kama nilivyotangulia kusema pale juu kwamba jibu halitapatikana as always it has been seen.
Ila simon kama inavyotambulika na dunia kwamba ni the first smartphone then mimi nitakubaliana nao kama watalinganisha na miaka ile.

=====================================

sikushangai kaka sababu majority ya watanzania ni tabia yetu, nimerudia mara kibao kusema hii ni opinion yangu sijakulazimisha uamini ibm simon ilikuwa smartphone au la kama huwezi kurespect opinion ya mtu then tutaendelea kubishana. nimekupa fact simu haiwezi kuwa smart kama haina browser ni kama uiite ipod ni smartphone wakati haipigi simu.

ibm simon itaendelea kubaki kama pda unless unaamini kuwa simu inaweza kuwa smart bila browser.
 
waheed sunday
kwani Symbian ilikuwa na nini ambacho android na ios hana? maana mi sikuwa kutumia hiyo os

Symbian OS na software zake zilikuwa optimized kiasi kwamba device yenye specifications ndogo ilikuwa ina-run smoothly, kwa sasa labda iOS ndo wnajitahidi kwenye optimization compare na android OS
 
Last edited by a moderator:
Ulitaka kumaanisha nini ?


apple ndo leader wa smartphone sellers. ni untouchable product zake na ndo kampuni iliyoleta real smartphone "hata multi touch wamegundua wao "

wana marketing strategy kali sana kiasi kwamba kampuni zingine zinaonekana kutapa tapa wala washike hili mala lile lakini apple wanajua wanachokifanya na wanakisimamia..
 
apple ndo leader wa smartphone sellers. ni untouchable product zake na ndo kampuni iliyoleta real smartphone "hata multi touch wamegundua wao "

wana marketing strategy kali sana kiasi kwamba kampuni zingine zinaonekana kutapa tapa wala washike hili mala lile lakini apple wanajua wanachokifanya na wanakisimamia..

Chief-Mkwawa
 
Last edited by a moderator:
apple ndo leader wa smartphone sellers. ni untouchable product zake na ndo kampuni iliyoleta real smartphone

Real smartphone kivipi ?

"hata multi touch wamegundua wao "

Acha kukulupuka,
wamegundua wao kivipi ? huu ni uongo ungenambia labda walileta first multitouch device ningekuelewa japokuwa ungekuwa bado ni muongo.

Mitsubishi ndio walioanza kuleta first multi touch device.
Ambayo ni Diamond touch mwaka 2001, akaja apple mwaka 2007

https://en.m.wikipedia.org/wiki/DiamondTouch

Nao wao sio kwamba waligundua mana ilianza toka mwaka 82
.
 
real smartphone kivipi ?



Acha kukulupuka,
wamegundua wao kivipi ? Huu ni uongo ungenambia labda walileta first multitouch device ningekuelewa japokuwa ungekuwa bado ni muongo.

Mitsubishi ndio walioanza kuleta first multi touch device.
Ambayo ni diamond touch mwaka 2001, akaja apple mwaka 2007

https://en.m.wikipedia.org/wiki/diamondtouch

nao wao sio kwamba waligundua mana ilianza toka mwaka 82
.

hapo kwenye red kumbe unaelewa alafu unaleta ujuaji na theories kibao ... Na hapa tulikuwa tunaongelea smartphone devices au wewe unaongelea nn ?
 
hapo kwenye red kumbe unaelewa alafu unaleta ujuaji na theories kibao ... Na hapa tulikuwa tunaongelea smartphone devices au wewe unaongelea nn ?

Ikifikia hatua mtu anajipinga yeye mwenyeww ujue ndipo kikomo chakufikiri kilipoishia.


"hata multi touch wamegundua wao "

Acha kukulupuka,
wamegundua wao kivipi ? huu ni uongo ungenambia labda walileta first multitouch device ningekuelewa japokuwa ungekuwa bado ni muongo.


Mitsubishi ndio walioanza kuleta first multi touch device.
Ambayo ni Diamond touch mwaka 2001, akaja apple mwaka 2007

https://en.m.wikipedia.org/wiki/DiamondTouch

Nao wao sio kwamba waligundua mana ilianza toka mwaka 82
.
 
Ikifikia hatua mtu anajipinga yeye mwenyeww ujue ndipo kikomo chakufikiri kilipoishia.




Acha kukulupuka,
wamegundua wao kivipi ? huu ni uongo ungenambia labda walileta first multitouch device ningekuelewa japokuwa ungekuwa bado ni muongo.


Mitsubishi ndio walioanza kuleta first multi touch device.
Ambayo ni Diamond touch mwaka 2001, akaja apple mwaka 2007

https://en.m.wikipedia.org/wiki/DiamondTouch

Nao wao sio kwamba waligundua mana ilianza toka mwaka 82
.

Endeleeni na theories zenu na story za hapa na theories zenu Apple haters Ila watumiaji wa devices ndo wanaamua kizuri ni kipi na ndo maana Apple wametulia na bado wanabaki kuwa kampuni yenye thamani kuliko kampuni yoyote hapa duniani . " the company does not ship garbage "
 
Back
Top Bottom