ngoja nitamuuliza Pacho Mwamba.vp kwenye umeme, na kelele yaani mingurumo
Hizo sizifahamu.vp kuhusu, westpoint za uk
Sawa MjombaNb; sijaitumia ila nimeona tangazo azam tv
Mkuu ni kweli kabisa hata mimi ninalo la mtumba mara ya kwanza kuleta geto nilizani ni bovu maana sauti haisikiki mpaka ulisogelee karibu ndo utasikia kwa mbaaliJstar1, Kampuni nzuri ya fridge ni BEKO from Turky, wapo vizuri kwenye kelele, ulaji wa umeme na kugandisha.
Chukua aboder smart life