kampuni mpya

canaan

Member
Mar 1, 2008
46
6
Wadau nimeanzisha kampuni yangu mpya inashughulika na consolidation and deconsolidation(import and export), parcaging, warehousing, door to door delivery na other logistics zinazo husiana na import and export.

Mimi kama mwanzilishi nina plan yangu ya marketing, lakini nimeona nije kwenu wadau wangu mnipe ushauri wa utakaonisaidia kupata wateja, natanguliza shukrani zangu
 
Mkuu upo siriaz unaanzisha kampuni bila kujua wateja unawapata vipi??
Ulifanya feasbility study kabla ujaanzisha kampuni??
 
Back
Top Bottom