Hehehe wewe mkali yaani masaa 24 upo, huyo Polepole hakukosea kukuajiria Lumumba, nilikuaga alasiri jana nikaenda shughuli zangu kuja saa nane usiku mida ya wanga nakukuta haujapumzika....hehehe nimekukubali balaa, sasa ungejituma hivyo kwa shughuli za kuzalisha kiuchumi mngekua mbali.
Sasa mumeishia kuahidiana tu 2021 tumefika wapi kwenye lengo la kutengeneza mabilionea 1,000 ambao Rais anataka wapatikane?
Hehehe wewe mkali yaani masaa 24 upo, huyo Polepole hakukosea kukuajiria Lumumba, nilikuaga alasiri jana nikaenda shughuli zangu kuja saa nane usiku mida ya wanga nakukuta haujapumzika....hehehe nimekukubali balaa, sasa ungejituma hivyo kwa shughuli za kuzalisha kiuchumi mngekua mbali.
Sasa mumeishia kuahidiana tu 2021 tumefika wapi kwenye lengo la kutengeneza mabilionea 1,000 ambao Rais anataka wapatikane?
Hehehe wewe mkali yaani masaa 24 upo, huyo Polepole hakukosea kukuajiria Lumumba, nilikuaga alasiri jana nikaenda shughuli zangu kuja saa nane usiku mida ya wanga nakukuta haujapumzika....hehehe nimekukubali balaa, sasa ungejituma hivyo kwa shughuli za kuzalisha kiuchumi mngekua mbali.
Sasa mumeishia kuahidiana tu 2021 tumefika wapi kwenye lengo la kutengeneza mabilionea 1,000 ambao Rais anataka wapatikane?
Hehehe wewe mkali yaani masaa 24 upo, huyo Polepole hakukosea kukuajiria Lumumba, nilikuaga alasiri jana nikaenda shughuli zangu kuja saa nane usiku mida ya wanga nakukuta haujapumzika....hehehe nimekukubali balaa, sasa ungejituma hivyo kwa shughuli za kuzalisha kiuchumi mngekua mbali.
Sasa mumeishia kuahidiana tu 2021 tumefika wapi kwenye lengo la kutengeneza mabilionea 1,000 ambao Rais anataka wapatikane?