Kampuni la kibeberu linajiandaa na kuleta kesi dhidi ya Serikali ya Tanzania

Hehehe nakuona leo umekimbia nyuzi za siasa za Watz kule...... Hivi hizo simu huwa mnazitia chaji pale Lumumba au wapi.
mimi huwa sishindi huko,mimi nazurula jf nzima.

umeme ni uhakika tz,nacharge popote,sio huko kwenu shida tupu.
 
mimi huwa sishindi huko,mimi nazurula jf nzima.

umeme ni uhakika tz,nacharge popote,sio huko kwenu shida tupu.

Kwa namna huwa unamjibu kila mtu lazima muwe mnapewa power bank hapo Lumumba maana Dar umeme ni kero kila siku
 
Kwa namna huwa unamjibu kila mtu lazima muwe mnapewa power bank hapo Lumumba maana Dar umeme ni kero kila siku
hata simu tumepewa,na vocha tunawekewa.


hapo lumumba umepajua wewe mkenya mimi mtz sipajui.
 
hata simu tumepewa,na vocha tunawekewa.


hapo lumumba umepajua wewe mkenya mimi mtz sipajui.

Hehehe wewe mkali yaani masaa 24 upo, huyo Polepole hakukosea kukuajiria Lumumba, nilikuaga alasiri jana nikaenda shughuli zangu kuja saa nane usiku mida ya wanga nakukuta haujapumzika....hehehe nimekukubali balaa, sasa ungejituma hivyo kwa shughuli za kuzalisha kiuchumi mngekua mbali.
Sasa mumeishia kuahidiana tu 2021 tumefika wapi kwenye lengo la kutengeneza mabilionea 1,000 ambao Rais anataka wapatikane?
 
Hehehe wewe mkali yaani masaa 24 upo, huyo Polepole hakukosea kukuajiria Lumumba, nilikuaga alasiri jana nikaenda shughuli zangu kuja saa nane usiku mida ya wanga nakukuta haujapumzika....hehehe nimekukubali balaa, sasa ungejituma hivyo kwa shughuli za kuzalisha kiuchumi mngekua mbali.
Sasa mumeishia kuahidiana tu 2021 tumefika wapi kwenye lengo la kutengeneza mabilionea 1,000 ambao Rais anataka wapatikane?
wewe unajua hali yangu


yaani mkenya unajisifu kufanya kazi kwa bidii halafu unalala mapema kama dada yako.
 
Hehehe wewe mkali yaani masaa 24 upo, huyo Polepole hakukosea kukuajiria Lumumba, nilikuaga alasiri jana nikaenda shughuli zangu kuja saa nane usiku mida ya wanga nakukuta haujapumzika....hehehe nimekukubali balaa, sasa ungejituma hivyo kwa shughuli za kuzalisha kiuchumi mngekua mbali.
Sasa mumeishia kuahidiana tu 2021 tumefika wapi kwenye lengo la kutengeneza mabilionea 1,000 ambao Rais anataka wapatikane?
Siku hizi unaniogopa sasa. Ukiona comments zangu tunaanza kutetemeka.
Mpaka ndani ya ikulu yenu tumo.

Muulize Kagame atakupa stories.
 
Siku hizi unaniogopa sasa. Ukiona comments zangu tunaanza kutetemeka.
Mpaka ndani ya ikulu yenu tumo.

Muulize Kagame atakupa stories.
hilo hawawezi kujua hawa jua kali wa kibera.

ila uhuru anajua,ndio sababu huwa hana jeuri za kipuuzi.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom