Kampuni inayojenga Uwanja wa ndege Chato, Mayanga Construction inamilikiwa na nani na ilipataje tenda hiyo?

Mbona tushasema sana kuhusu Mayanga!!

CEO ni Steven Makigo

Steven Makigo ni Swahiba wa Rais John Pombe Magufuli... hawakukutana barabarani!! Hawa wamesoma pamoja Lake Secondary School.

Akiwa kama waziri wa ujenzi, mwaka 2012 JPM alimteua Steven Makigo kuwa Mjumbe wa TEMESA. TEMESA hii ni ile ile ambayo ilinunua boti kwa mabilioni ya pesa huku boti yenyewe ikiwa na speed sawa na mtumbwi!!

Ni boti ile ile ambayo, ili kuwakata watu midomo wasiijadili, JPM yule yule akaipeleka boti hiyo jeshini! Yaani, Jeshi linapewa boti yenyewe mwendo wa kinyonga!!!

REMEMBER: Zabuni ya ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Chato iliweka sharti kwamba Contractor LAZIMA awe ni wa Kanda ya Ziwa!!

Yaani "National Project" inaweka condition ya ku-eliminate Watanzania wengine!!!!

Tena hapa tukumbushane kwamba, hiyo ni aina moja wapo ya Grand Corruption! YES, I mean it... a type of the GRAND CORRUPTION ambayo kwa makusudi watu wanaweka baseless conditions only to eliminate other competitors in favor of their guy!!!

SO, Kuna atakayeshangaa tukisema Mradi wa ujenzi wa Chato International Airport uliletwa maalumu ili tenda apewe Mayanga Construction Ltd, and ONLY Mayanga?!

Halafu ngoja, nimekumbuka!!

Hivi mnakumbuka JPM enzi zake akiwa Waziri wa Ujenzi akaja na "Wakandarasi Wazalendo"?!

Hoja tamu kweli kweli ambayo mtu ukiitia doa utaonekana unapingana na mtu anayekusudia kuwainua Wakandarasi Wazalendo lakini ukweli ni kwamba hiyo ilikuwa ni janja janja nyingine ya kui-favor Mayanga Construction!!

Wakati Wizara ya Ujenzi chini ya Magu ilipokuwa na mpango wa kujenga Daraja la Mbutu, Magu alijua kabisa Mayanga hatakuwa na ubavu wa kushindana na kampuni za kigeni na ndipo likaja suala la Wakandarasi Wazalendo, na Mayanga Construction akala shavu akiwa na "wazalendo" wengine!!

Don't speculate pale tovuti ya Ikulu inaposema:
Harakati zake za kisiasa zilianza mwaka 1995 alipogombea kiti cha ubunge katika jimbo la Chato na kuteuliwa kuwa Naibu Waziri katika Wizara ya Ujenzi. Mwaka 2000 Dkt. Magufuli aligombea na kushinda kwa mara ya pili na kuteuliwa kuwa Waziri wa Wizara ya Ujenzi.
Kisha Tovuti ya Mayanja Construction nayo ikaja kusema:
Since inception on the 2001, Mayanga CONTRACTORS Company Ltd has managed
2000 vs 2001 is just coincidence, mmiliki wa Mayanja Construction ni Steven Makigo, si eti enh?

Kutoka Mjengoni Dodoma, Mh. Marwa Ryoba Chaha... Mbunge wa Serengeti, CCM anatukumbusha:-
Mwaka 2013 wameanza kutengeneza barabara ya kuunganisha Mkoa wa Mara na Mkoa wa Arusha wakaanza na kilometa 50. Imepita miaka sita kilomita 50 hazijakwisha hata kilometa sita tu wameshindwa kumaliza. Hiyo ndiyo Serikali ya CCM, nijiuzulu leo nimuunge mkono wakati barabara imemshinda.
Muraa anaendelea:-
Mheshimiwa Naibu Spika, halafu mkandarasi anayejenga huo uwanja unajua ni nani? Ni yule ambaye ameshindwa kumaliza zile kilometa 50 pale Mkoa wa Mara, ndiyo amepewa Mayanga nani mwingine si ndiyo huyo? Kisa rafiki yake na nani, Magufuli, ooh haya, twende kazi

Akili za mbayumbayu changanya na za Baba Levo!
 
Wadau, hili ni dudu jingine mjini hapa linapata matenda makubwa ya serikali hii mf chato airport na tender kubwa za lake zone na kigoma.

Kuna tender ilitangazwa nikasikia kampuni moja ya ujenzi inasema kama Mayanga akiomba hawatajisumbua kuomba....

So wajuzi wa mambo naombeni elimu kampuni hili ni la nani? Kwanini Mbarawa anapata kigugumizi juu ya Mayanga?

Nawasilisha
atakula huyo wee kama Lugumi... afu mwishowe watafanya maigizo ya kama daktari Shika.

kweli sisi Watanzania ni makondoo...alishajisemeaga dadaangu Asha Mnzavas (rip) miaka ilee pale Nkurumah hall.
 
Mbona tushasema sana kuhusu Mayanga!!

CEO ni Steven Makigo

Steven Makigo ni Swahiba wa Rais John Pombe Magufuli... hawakukutana barabarani!! Hawa wamesoma wote Lake Secondary School.

Akiwa kama waziri wa ujenzi, mwaka 2012 JPM alimteua Steven Makigo kuwa Mjumbe wa TEMESA. TEMESA hii ni ile ile ambayo ilinunua boti kwa mabilioni ya pesa huku boti yenyewe ikiwa na speed sawa na mtumbwi!!

Ni boti ile ile ambayo, ili kuwakata watu midomo wasiijadili, JPM yule yule akaipeleka boti hiyo jeshini! Yaani, Jeshi linapewa boti yenyewe mwendo wa kinyonga!!!

Hilo linawezekana Tanzania peke yake....
Ahaa huyu jamaà ndo mmiliki kumbe...dah kweli hili taifa la mapande.

Alafu kumbe ile boti kimeo ilienda jwtz??? Really? Kwa kazi na uwezo gani kwa ile biti
 
Nasikia huko nyuma hii Mayanga ilikuwa imesajiliwa kwa jina lake mwenyewe Pogba..

Imebadilishwa miaka ya hivi karibuni tu..

Kampuni haijawahi kujenga Airport lakini imepewa Kazi ya kujenga Chattle Airport..

Hii ni Kashfa kabisa.
Ulitaka ianzie wapi kujenga tofauti na kuanzia Chato, kinachojadiliwa n namna anavyopata tender
 
Nasikia huko nyuma hii Mayanga ilikuwa imesajiliwa kwa jina lake mwenyewe Pogba..

Imebadilishwa miaka ya hivi karibuni tu..

Kampuni haijawahi kujenga Airport lakini imepewa Kazi ya kujenga Chattle Airport..

Hii ni Kashfa kabisa.
Only in Tanzania.
 
Majibu ya namna hii yanatolewa na wapimbafu flan hivi.... Kila cku mnasema tufate sheria lakn ikifika zamu yenu ya kufata sheria mnaleta ngonjera....pumbafu kabisa ninyiii
Kama mwenye hii kampuni alikutia ujauzito akakutelekeza na mtoto bila matunzo kuliko mnapotaka wote tujibu kama wewe unavyomjua huyo x wako!
 
Back
Top Bottom