Kampeniau unafiki

KAKA A TAIFA

JF-Expert Member
Apr 27, 2011
566
80
Ukitaka kumjua mzalendo wa kweli utamjua wakati anlinda maslahi yake hta kwa unafiki.HIVI KAMPENI IMEKUWA VITA EEH EEH,PHEW.............SASA WAPIGA KURA TAMBUENI HAKI NA MAENDELEO YA SIKU ZIJAZO NA MANENO YA KUDANGANYWA TU.
 

Attachments

  • HUYO NDIYE RA.jpg
    HUYO NDIYE RA.jpg
    111.4 KB · Views: 85
Nilidhani huyu jamaa ana busara lkn toka alipomwita msemaji wa klabu ya simba wakati ule eti ni karani, bora angeendelea kuozea ndani tu huko. Sasa ndo anaongeza ukilaza wake eti anatembea na mguu wa kuku, kumbe wao ndo wanaleta ubabe huko igunga halafu wanasingizia Chadema wanaleta fujo nyambaaaaaaaaaaaf
 
Huyu nani kamtuma Marekani kupiga picha na masharobaro???!!

attachment.php
 
Ukitaka kumjua mzalendo wa kweli utamjua wakati anlinda maslahi yake hta kwa unafiki.HIVI KAMPENI IMEKUWA VITA EEH EEH,PHEW.............SASA WAPIGA KURA TAMBUENI HAKI NA MAENDELEO YA SIKU ZIJAZO NA MANENO YA KUDANGANYWA TU.

Nadhani amepamiss kwao Somalia hadi akapata hamu za kutoka hadharani na silaha kama wanavyofanya wenzake kule Mogadishu. Kama anahamu ya vita arudi kwao huyu Msomali Rage
 
Nadhani amepamiss kwao Somalia hadi akapata hamu za kutoka hadharani na silaha kama wanavyofanya wenzake kule Mogadishu. Kama anahamu ya vita arudi kwao huyu Msomali Rage

Kweli aisee, hata Dito alipokuwa Mkuu wa Kaya ya wanyamwezi alikuwa na bastola vivyo hivyo akampeleka akhera dreva wa daladala! Nadhani jani la Tabora ni kali kama la Somalia!
 
Back
Top Bottom