Mwana Mtoka Pabaya JF-Expert Member Apr 22, 2012 15,118 16,470 Oct 28, 2012 #21 Shida moja kwa CCM linapokuja suala la Arusha ni kwamba Arusha haina makabwela. Ingekuwa mambo haya yamewakuta Igunga au Buguruni, basi wangeapply hii
Shida moja kwa CCM linapokuja suala la Arusha ni kwamba Arusha haina makabwela. Ingekuwa mambo haya yamewakuta Igunga au Buguruni, basi wangeapply hii
Marire JF-Expert Member May 1, 2012 12,328 5,267 Oct 28, 2012 #22 Mbona ritz,rejeo sijawaona hapa kwenye huu uzi
mzamifu JF-Expert Member Mar 10, 2010 6,379 3,826 Oct 28, 2012 #23 CCM hawaamini kama wanaelekea kuanguka. sijui ni sikio la kufa...
mzamifu JF-Expert Member Mar 10, 2010 6,379 3,826 Oct 28, 2012 #24 ngoja nitafakari zaidi kuuanguka kwa chama ni pale watu wanapokikataa hata kama kiko madarakani au? tuseme basi watu wameikataa ccm hata kama itakaa madarakani
ngoja nitafakari zaidi kuuanguka kwa chama ni pale watu wanapokikataa hata kama kiko madarakani au? tuseme basi watu wameikataa ccm hata kama itakaa madarakani
Crashwise JF-Expert Member Oct 23, 2007 22,227 8,735 Oct 28, 2012 #25 CCM hivi vitu Arusha ni ngumu labda pesa mlizo kuwa mnagawa na Sukari....