kibokilimani
Senior Member
- Jul 5, 2020
- 144
- 37
Naona upinzani yote mmeamia kawe mnaacha kupambana na kunadi sera zenu kutwa mnaangaika na Gwajima yani nyie ata muungane vipi kumshinda Gwajima hamuwezi ni kwamba kale kajizi akatakiwi kawe tena tunakwenda na Gwajima.Katika hali ya kuonyesha kuchanganyikiwa na joto la kampeni na kupoteza uelekeo, mgombea wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima aliibuka kwenye darasa la watoto wa shule ya awali.
Hebu tazama hiyo video akiwa na Luca Neghesti mgombea udiwani kata ya Msasani.
View attachment 1586399
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app