wanabodi leo cdm wanakandamiza live kutoka Tindigani.........uwanja umeshaanza kuja wananchi wakiwasubiri makamanda watie timu.
Stay tune live frm the ground
Ndugu,
Comrade tunakusubiri 'Tujuze'
... WaTanzania sote TUMESHAAMUA kwamba mambo yote ni kwa CHADEMA, je ni nani tena wa kutuzuia?????????????
Pamoja mkuu....kamanda msigwa anaweka mambo sawa.kama makanda hawaingia
mambo yepi hayo? hebu fafanua...... WaTanzania sote TUMESHAAMUA kwamba mambo yote ni kwa CHADEMA, je ni nani tena wa kutuzuia?????????????
Kila siku wanawaza kuibiwa.....mwizi always humuona mwenzake ni mwizi kama yeye!!Upo very current mkuu.......lema anatoa somo la kulinda kura naona ndinga ya chadema ambalo linatumika kama jukwaa limeingia