FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,802
Hili limesemwa sana, lakini nimeona mahali kama mkulu kaagiza wabunge wasiwe wajumbe wa bodi wala taasisi za umma, agizo hili litekelezwe mala moja
= mara
Hili limesemwa sana, lakini nimeona mahali kama mkulu kaagiza wabunge wasiwe wajumbe wa bodi wala taasisi za umma, agizo hili litekelezwe mala moja
PM na Mawaziri wanao ofisi zao Dar es Salaam, hawawezi kukaa majimboni. Vipi kuhusu wabunge, si wanatakiwa kuwa na ofisi zao majimboni (katika hali ya kawaida)?...
PM na Mawaziri wanao ofisi zao Dar es Salaam, hawawezi kukaa majimboni. Vipi kuhusu wabunge, si wanatakiwa kuwa na ofisi zao majimboni (katika hali ya kawaida)?...