Ndugu zangu makamanda mimi ni naibu meneja kampeni kata yakimandolu chadema tunashinda kwa asilimia 85 ccm wameleta mawaziri w medeye w mwandi kina nchemba nawengine wengi niko nakamanda magoma ebana tunawakimbiza mpaka wamekubali yesu nibwana hawa viongozi wa serikali tarehe 16 jioni ukipiga cmu utasikia namba unayopiga haipatikani wako airport wanarudi dar mwigulu arusha sio iramba sisi ni watoto wa a town tunakula ccm tunalala chadema arusha mjini hkna ccm huku mgombea udiwani wa chadema kata yakimandolu mchungaji nelson elshadai ni chaguo la mungu ametumwa kuwakomboa watu wakimandolu alutan contunua makamanda ccm wameishiwa sera matusi kwenye majukwaa viongozi wa dini ombeeni ccm inakiuka maadili ya baba wa taifa mungu ibariki chadema