kampeni ya kimandolu

kampeni ya kimandolu

Bahati1

Member
Joined
Jun 9, 2013
Posts
39
Reaction score
11
Ndugu zangu makamanda mimi ni naibu meneja kampeni kata yakimandolu chadema tunashinda kwa asilimia 85 ccm wameleta mawaziri w medeye w mwandi kina nchemba nawengine wengi niko nakamanda magoma ebana tunawakimbiza mpaka wamekubali yesu nibwana hawa viongozi wa serikali tarehe 16 jioni ukipiga cmu utasikia namba unayopiga haipatikani wako airport wanarudi dar mwigulu arusha sio iramba sisi ni watoto wa a town tunakula ccm tunalala chadema arusha mjini hkna ccm huku mgombea udiwani wa chadema kata yakimandolu mchungaji nelson elshadai ni chaguo la mungu ametumwa kuwakomboa watu wakimandolu alutan contunua makamanda ccm wameishiwa sera matusi kwenye majukwaa viongozi wa dini ombeeni ccm inakiuka maadili ya baba wa taifa mungu ibariki chadema
 
Ndugu zangu makamanda mimi ni naibu meneja kampeni kata yakimandolu chadema tunashinda kwa asilimia 85 ccm wameleta mawaziri w medeye w mwandi kina nchemba nawengine wengi niko nakamanda magoma ebana tunawakimbiza mpaka wamekubali yesu nibwana hawa viongozi wa serikali tarehe 16 jioni ukipiga cmu utasikia namba unayopiga haipatikani wako airport wanarudi dar mwigulu arusha sio iramba sisi ni watoto wa a town tunakula ccm tunalala chadema arusha mjini hkna ccm huku mgombea udiwani wa chadema kata yakimandolu mchungaji nelson elshadai ni chaguo la mungu ametumwa kuwakomboa watu wakimandolu alutan contunua makamanda ccm wameishiwa sera matusi kwenye majukwaa viongozi wa dini ombeeni ccm inakiuka maadili ya baba wa taifa mungu ibariki chadema
Sawa kamanda kesho niko huko kamanda leo tumewavua magamba watu wakutosha mpaka mgombea wa TLP nae kauona mwanga...
 
Nimepata matumaini mapya na hii thread!
Mwgulu ajifunze kuwa kutukana si kupata...seenzi kabisa.
 
Hongereni makamanda. Tunaomba watu wa A town msaidie kuhamasisha wanachi wengine mikoa mingine iamke na nchi isalimike 2015.
 
Siyo kimandolu tu, kata zote Arusha tunakamua mwigulu atafute pa kujificha kama ana aibu kweli!

Juliana Shonza mwenyewe kakiri kuwa hakuna chama chenye mafisadi kama ccm

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Ndugu zangu makamanda mimi ni naibu meneja kampeni kata yakimandolu chadema tunashinda kwa asilimia 85 ccm wameleta mawaziri w medeye w mwandi kina nchemba nawengine wengi niko nakamanda magoma ebana tunawakimbiza mpaka wamekubali yesu nibwana hawa viongozi wa serikali tarehe 16 jioni ukipiga cmu utasikia namba unayopiga haipatikani wako airport wanarudi dar mwigulu arusha sio iramba sisi ni watoto wa a town tunakula ccm tunalala chadema arusha mjini hkna ccm huku mgombea udiwani wa chadema kata yakimandolu mchungaji nelson elshadai ni chaguo la mungu ametumwa kuwakomboa watu wakimandolu alutan contunua makamanda ccm wameishiwa sera matusi kwenye majukwaa viongozi wa dini ombeeni ccm inakiuka maadili ya baba wa taifa mungu ibariki chadema

.....ha ha ha kamanda nilishangaa sana magamba kusimamisha gumegume...si unajuwa mambo ya wala miwa!!!!!
 
Ndugu zangu makamanda mimi ni naibu meneja kampeni kata yakimandolu chadema tunashinda kwa asilimia 85 ccm wameleta mawaziri w medeye w mwandi kina nchemba nawengine wengi niko nakamanda magoma ebana tunawakimbiza mpaka wamekubali yesu nibwana hawa viongozi wa serikali tarehe 16 jioni ukipiga cmu utasikia namba unayopiga haipatikani wako airport wanarudi dar mwigulu arusha sio iramba sisi ni watoto wa a town tunakula ccm tunalala chadema arusha mjini hkna ccm huku mgombea udiwani wa chadema kata yakimandolu mchungaji nelson elshadai ni chaguo la mungu ametumwa kuwakomboa watu wakimandolu alutan contunua makamanda ccm wameishiwa sera matusi kwenye majukwaa viongozi wa dini ombeeni ccm inakiuka maadili ya baba wa taifa mungu ibariki chadema

Baada ya Matokeo kutoka tarehe 16 june jioni msije na mambo yenu yale ya Chadema imeongeza kura kwa asilimia kadhaa msilete hapa JF!
 
Nilikuwa na mwenyekiti mtaa wa Tindigan(jina nalihifadhi) aliyetaka kugombea kwa ccm,aliniambia CCM maji yamezidi unga,mama analeta ukabila kiasi kwamba wanashindwa kumsaidia!aliniambia Chadema njia ni nyeupe maana hawawezi kumsaidia mtu anaye watenga wengine na kuleta ukabila
 
Utasikia Mwaka 2010 Chadema ili pata 2% kata ya Kimandolu,uchaguzi huu imepata 17% hivyo imejitahidi! Story kama hizi hazitakiwi tena,msilete visingizio vya Asilimia!
 
Nimepata matumaini mapya na hii thread!
Mwgulu ajifunze kuwa kutukana si kupata...seenzi kabisa.

...Mkuu PakaJimmy Kimandolu magamba hawakuwa na nia ya dhati.... zaidi ya mtu kula muwa!!!

umenisoma Kamanda?
 
Nimepata matumain mapya na hii thread!
Mwgulu ajifunze kuwa kutukana si kupata.senzi kabisa.

Pamoja sana kamanda!

Wataficha wap nyuso zao siku ya Jumatatu asubuhi wakat msimamizi wa uchaguzi atakaposoma RESULTS?
 
Siyo kimandolu tu, kata zote Arusha tunakamua mwigulu atafute pa kujificha kama ana aibu kweli!

Juliana Shonza mwenyewe kakiri kuwa hakuna chama chenye mafisadi kama ccm

Kamanda Mungi CCM haipati hata kata moja!
 
Last edited by a moderator:
Ccm wanaitamani arusha kuliko eneo lolote, wanaarusha tunawaombeni hawa magaidi wa ccm wasipewe nafasi hata ya kupata kata moja wasepe kama walivyokuja, mie nafanya kampeni kuhakikisha pale nyumbani airport mbeya chadema inachukua kata ya iyela, ntawasafirisha hata wadogo zangu wengine waliopo kyela wakapige kura iyela, sitaki utani na magamba mimi!
 
Nimepata matumaini mapya na hii thread!
Mwgulu ajifunze kuwa kutukana si kupata...seenzi kabisa.

Ameshatambua hilo diyo maana kwenye moja ya thread yake hapa jamvini anaomba msamaha kiutu uzima. Hataki kukiri wazi kwamba CCM imeshindwa siasa Arusha bali anatumia neno uzalendo kuomba msamaha!
 
Siyo kimandolu tu, kata zote Arusha tunakamua mwigulu atafute pa kujificha kama ana aibu kweli!

Juliana Shonza mwenyewe kakiri kuwa hakuna chama chenye mafisadi kama ccm

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Hakika hakuna kama CHADEMA a town...Nilikuwa kata ya ELELAI leo baada ya kamanda LEMA kumwaga sela na Elimu ya uraia,Mgombea udiwani kwa tiketi ya TLP uzalendo ukamshinda akajisalimisha Jukwaani nakujiunga na meli ya ukombozi!hakika chadema nimpango wa MUNGU.
 
Nguvu kubwa ipelekwe kwenye usimamizi wa kura na wawakilishi wa kusimamia hzo kura wasiwe njaa kali, CCM inapesa nyingi za kodi zetu.
 
Back
Top Bottom