DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,642
Makuyuni pia hali ya cdm ni Tambarare.
Nilikuwa na mwenyekiti mtaa wa Tindigan(jina nalihifadhi) aliyetaka kugombea kwa ccm,aliniambia CCM maji yamezidi unga,mama analeta ukabila kiasi kwamba wanashindwa kumsaidia!aliniambia Chadema njia ni nyeupe maana hawawezi kumsaidia mtu anaye watenga wengine na kuleta ukabila
Tunashukuru sana.
Kamanda Mungi CCM haipati hata kata moja!
Ndugu zangu makamanda mimi ni naibu meneja kampeni kata yakimandolu chadema tunashinda kwa asilimia 85 ccm wameleta mawaziri w medeye w mwandi kina nchemba nawengine wengi niko nakamanda magoma ebana tunawakimbiza mpaka wamekubali yesu nibwana hawa viongozi wa serikali tarehe 16 jioni ukipiga cmu utasikia namba unayopiga haipatikani wako airport wanarudi dar mwigulu arusha sio iramba sisi ni watoto wa a town tunakula ccm tunalala chadema arusha mjini hkna ccm huku mgombea udiwani wa chadema kata yakimandolu mchungaji nelson elshadai ni chaguo la mungu ametumwa kuwakomboa watu wakimandolu alutan contunua makamanda ccm wameishiwa sera matusi kwenye majukwaa viongozi wa dini ombeeni ccm inakiuka maadili ya baba wa taifa mungu ibariki chadema
Ndugu zangu makamanda mimi ni naibu meneja kampeni kata yakimandolu chadema tunashinda kwa asilimia 85 ccm wameleta mawaziri w medeye w mwandi kina nchemba nawengine wengi niko nakamanda magoma ebana tunawakimbiza mpaka wamekubali yesu nibwana hawa viongozi wa serikali tarehe 16 jioni ukipiga cmu utasikia namba unayopiga haipatikani wako airport wanarudi dar mwigulu arusha sio iramba sisi ni watoto wa a town tunakula ccm tunalala chadema arusha mjini hkna ccm huku mgombea udiwani wa chadema kata yakimandolu mchungaji nelson elshadai ni chaguo la mungu ametumwa kuwakomboa watu wakimandolu alutan contunua makamanda ccm wameishiwa sera matusi kwenye majukwaa viongozi wa dini ombeeni ccm inakiuka maadili ya baba wa taifa mungu ibariki chadema
Arushaone,mimi hii mipango ya chama kimoja kutaka kushinda viti vyooooote vinavyogombewa naiona kama ni undemocratic.si mipango mizuri kwa siasa endelevu na zenye tija sababu ni hurka ya kutokutaka kuhojiwa.naomba tuwe na mipango moderate,kwa apo arusha mpange kupata kata tatu na ccm moja.ila sio zooote kama unavyosema hapa.
Ndugu zangu makamanda mimi ni naibu meneja kampeni kata yakimandolu chadema tunashinda kwa asilimia 85 ccm wameleta mawaziri w medeye w mwandi kina nchemba nawengine wengi niko nakamanda magoma ebana tunawakimbiza mpaka wamekubali yesu nibwana hawa viongozi wa serikali tarehe 16 jioni ukipiga cmu utasikia namba unayopiga haipatikani wako airport wanarudi dar mwigulu arusha sio iramba sisi ni watoto wa a town tunakula ccm tunalala chadema arusha mjini hkna ccm huku mgombea udiwani wa chadema kata yakimandolu mchungaji nelson elshadai ni chaguo la mungu ametumwa kuwakomboa watu wakimandolu alutan contunua makamanda ccm wameishiwa sera matusi kwenye majukwaa viongozi wa dini ombeeni ccm inakiuka maadili ya baba wa taifa mungu ibariki chadema
Baada ya Matokeo kutoka tarehe 16 june jioni msije na mambo yenu yale ya Chadema imeongeza kura kwa asilimia kadhaa msilete hapa JF!
Makuyuni pia hali ya cdm ni Tambarare.
Nilikuwa na mwenyekiti mtaa wa Tindigan(jina nalihifadhi) aliyetaka kugombea kwa ccm,aliniambia CCM maji yamezidi unga,mama analeta ukabila kiasi kwamba wanashindwa kumsaidia!aliniambia Chadema njia ni nyeupe maana hawawezi kumsaidia mtu anaye watenga wengine na kuleta ukabila
Utasikia Mwaka 2010 Chadema ili pata 2% kata ya Kimandolu,uchaguzi huu imepata 17% hivyo imejitahidi! Story kama hizi hazitakiwi tena,msilete visingizio vya Asilimia!
Usiwe mgeni wa Arusha weye sidhani kama unajua nani alishinda kata ya Kimandolu uchaguzi uliopita.Baada ya Matokeo kutoka tarehe 16 june jioni msije na mambo yenu yale ya Chadema imeongeza kura kwa asilimia kadhaa msilete hapa JF!
Kwa sasa nawaunga mkono, lakini matamanio hayo yakipita muishie hapo, uchaguzi mwingine muweke malengo ya kushinda 50% tunahitaji zaidi ushindani wa hoja wakati wa michakato ya kupitisha maamuzi badala ya ushindani wa kutaka kupata fursa ya kupitisha maamuzi bila kupingwa, kama tunavyoona bungeni sasa.Mkuu Sangarara, ushindi wa kata zote nne una maana kubwa sana kwa chadema. Ni ushindi utakaoisaidia kuondoa umeya wa kichina.
Ili hilo litekelezwe ni lazima kwanza tushinde kata zote
What such a democracy, kugawana majimbo au viti ni demokrasia ya wapi get it or lose it hiyo ndiyo demokrasi.Arushaone,mimi hii mipango ya chama kimoja kutaka kushinda viti vyooooote vinavyogombewa naiona kama ni undemocratic.si mipango mizuri kwa siasa endelevu na zenye tija sababu ni hurka ya kutokutaka kuhojiwa.naomba tuwe na mipango moderate,kwa apo arusha mpange kupata kata tatu na ccm moja.ila sio zooote kama unavyosema hapa.
Mkuu Mungi nikwambie ushindi hautanoga bila kuzikomba kata zote nne za Arusha, kwangu mimi CCM hata wapate kata zote zingine ila wasiambulie kata hata moja ya Arusha.Mkuu Sangarara, ushindi wa kata zote nne una maana kubwa sana kwa chadema. Ni ushindi utakaoisaidia kuondoa umeya wa kichina.
Ili hilo litekelezwe ni lazima kwanza tushinde kata zote
Pamoja sana kamanda!
Wataficha wap nyuso zao siku ya Jumatatu asubuhi wakat msimamizi wa uchaguzi atakaposoma RESULTS?