Kampeni ya kataa ndoa

Kampeni ya kataa ndoa

Daata

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2012
Posts
4,748
Reaction score
2,038
Wasalaam nyote.
Kuna kampeni nimeona iko endelea hapa Jamiiforums. Imepewa Jina la kataa ndoa na maneno mengine yanayoambatana nayo.
Kwanini kampeni hii imeachwa ikaendelea kuwepo kwa muda. Hawa wanaosema kataa ndoa wa namaanisha uzao unapatikanaje?
Je wanahamasisha watu wazaliane bila utaratibu hasa kuongeza wamama wanaolea wenyewe al maarufu 'single mothers'?
Malezi na makuzi ya mtoto huanzia ndani ya ndoa Tena yenye ukamilifu wa wazazi wote. Je Hawa wanataka wazaliwe watoto watakaokosa malezi ya mzazi moja au hii kampeni maana yake nini hasa?
Twendeni pamoja kujadili.
 
Wasalaam nyote.
Kuna kampeni nimeona iko endelea hapa Jamiiforums. Imepewa Jina la kataa ndoa na maneno mengine yanayoambatana nayo.
Kwanini kampeni hii imeachwa ikaendelea kuwepo kwa muda. Hawa wanaosema kataa ndoa wa namaanisha uzao unapatikanaje?
Je wanahamasisha watu wazaliane bila utaratibu hasa kuongeza wamama wanaolea wenyewe al maarufu 'single mothers'?
Malezi na makuzi ya mtoto huanzia ndani ya ndoa Tena yenye ukamilifu wa wazazi wote. Je Hawa wanataka wazaliwe watoto watakaokosa malezi ya mzazi moja au hii kampeni maana yake nini hasa?
Twendeni pamoja kujadili.
Kuzaliwa hakuhitaji ndoa
 
Wasalaam nyote.
Kuna kampeni nimeona iko endelea hapa Jamiiforums. Imepewa Jina la kataa ndoa na maneno mengine yanayoambatana nayo.
Kwanini kampeni hii imeachwa ikaendelea kuwepo kwa muda. Hawa wanaosema kataa ndoa wa namaanisha uzao unapatikanaje?
Je wanahamasisha watu wazaliane bila utaratibu hasa kuongeza wamama wanaolea wenyewe al maarufu 'single mothers'?
Malezi na makuzi ya mtoto huanzia ndani ya ndoa Tena yenye ukamilifu wa wazazi wote. Je Hawa wanataka wazaliwe watoto watakaokosa malezi ya mzazi moja au hii kampeni maana yake nini hasa?
Twendeni pamoja kujadili.
Wakataa ndoa wana hoja lakini kwanini hawaweki msisitizo kulinda marinda yao badala ya kulinda vibunda pekee?



Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Watu waupinde wanapiga kotekote mzee baba. Hii kampeni ni mahsusi kwa ajili ya kuharibu taasis ya ndoa ambayo ni msingi wa malezi kwa watoto.

Sasa ili kupata mashoga wengi na lesbs wengi malezi ya kutojali misingi ya familia ni mbinu mojawapo.

Hawa hawapo kwa bahati mbaya. Wataendelea kuongeza watoto wasio na malezi ya baba na mama ili kupata victims wengi wa lgbtq.

Sijui kwanini nimeandika kirefu hivi akh kupotezeana muda tu.
 
Watu waupinde wanapiga kotekote mzee baba. Hii kampeni ni mahsusi kwa ajili ya kuharibu taasis ya ndoa ambayo ni msingi wa malezi kwa watoto.

Sasa ili kupata mashoga wengi na lesbs wengi malezi ya kutojali misingi ya familia ni mbinu mojawapo.

Hawa hawapo kwa bahati mbaya. Wataendelea kuongeza watoto wasio na malezi ya baba na mama ili kupata victims wengi wa lgbtq.

Sijui kwanini nimeandika kirefu hivi akh kupotezeana muda tu.

Point tupu umeandika
 
Kataa Ndoaaaa..

Ndoa ni wizii..

Ndoa ni ugaidi..

Ndoa ni utapeli..

Ndoa ni ajira kwa wanawake..

Ndoa unyonyaji..
Hoja zako ziko wapi?
Nani anaibiwa kwenye ndoa na anaibiwa kivipi?
Unasema ndoa ni ugaidi kwa maana ipi?
Unasema ndoa ni ajira kwa wanawake unamaanisha nini?
Hebu fafanua hoja zako huenda tumapata mantiki nzuri
Au mnajifurahisha tu
 
Mbona michango ya harusi na sendoff tunatoa kila uchao. Hiyo kataa ndoa iko kwenye jamhuri ya twitter, au jf zombies world 🌎
 
mwanamke mmoja hatoshi....
Kuna starehe hasa ngono na kufurahisha a lakini ndoa ni kubeba majukumu halisi hasa ya matokeo ya Muungano wenu ambayo ni malezi ya watoto watakao patikana. Kuwalea kwa njia sahihi yenye maadili yanayokubalika. Kuinuana pamoja na mapungufu ya mwenzi wako.
Fikiria zaidi ya starehe ya masaa au siku chache.
 
Kuna starehe hasa ngono na kufurahisha a lakini ndoa ni kubeba majukumu halisi hasa ya matokeo ya Muungano wenu ambayo ni malezi ya watoto watakao patikana. Kuwalea kwa njia sahihi yenye maadili yanayokubalika. Kuinuana pamoja na mapungufu ya mwenzi wako.
Fikiria zaidi ya starehe ya masaa au siku chache.
ndoa ni fumbo gumu sana. Inaweza kua ndo experience nzuri kuliko zote kwenye maisha yako, au mbaya kuliko zote. Sisi #kataa ndoa, tunaogopa kuumizwa....
 
Back
Top Bottom