Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
Rais wa Nigeria Muhammad Buhari alienda Uingereza kupata matibabu lakini Wanaharakati wakiongozwa na Reno Omokri ambae anaishi Marekani wakafunga Safari mpaka London wakajumuika na Wananchi wengine wa Nigeria wa Uingereza kwenda kwenye Ubalozi wa Nigeria Jijini London ambapo Buhari alifikia hapo kuweka kambia hapo ili Buhari asitoke kwenda Hospital kutibiwa.
Madai yao ni kuwa inakuwaje Rais anaachaje Hospital za Nchini mwake na kuja kutibiwa Ughaibuni wakati Wananchi wake wakiugua wanatibiwa kwenye hospital hizo hizo. Kwa hiyo wanataka Buhari arudi akatibiwe kwenye hospital za nchini mwake,leo ni siku ya 5 Buhari ameshindwa kutoka nje ya Ubalozi wa Nigeria, Abuja House na kwenda Hospital kutibiwa.
Huyu ndio Reno Omokri kiongozi wa Waandamanaji.
Madai yao ni kuwa inakuwaje Rais anaachaje Hospital za Nchini mwake na kuja kutibiwa Ughaibuni wakati Wananchi wake wakiugua wanatibiwa kwenye hospital hizo hizo. Kwa hiyo wanataka Buhari arudi akatibiwe kwenye hospital za nchini mwake,leo ni siku ya 5 Buhari ameshindwa kutoka nje ya Ubalozi wa Nigeria, Abuja House na kwenda Hospital kutibiwa.
Huyu ndio Reno Omokri kiongozi wa Waandamanaji.