Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Pamoja na Bw. Mapesa kueleweka kwa utendaji mbovu wa kutetea serikali ya kifisadi ya CCM na kuzima hoja za kimsingi alipokuwa mwenyekiti wa kamati za usimamizi wa mapesa yetu yanayohujumiwa na mafisadi wa CCM bado anaonekana ana shauku nene ya kuchaguliwa kuongoza Kamati nyingine kwa mgongo wa CCM ambao hawako tayari kugeuza kanuni ziendane na mahitaji ya wapigakura wa karne ya 21............................
katika kipindi cha mpito cha mfumo wa vyama vingi chama tawala kilishiriki kuwachagulia wapinzani wenyeviti wa kamati ambazo hupaswa kuzisimamia..........hivyo ungelikitegemea
mgogoro uliopo Bungeni ni kama wabunge wa CCM wanayo mamlaka ya kushiriki kupiga kura za kuchagua wenyevitebe vya kamati za kusimamia matumizi ya serikali kuu, serikali ya mitaa na mashirika ya umma......................kamati ambazo kwa mujibu wa kanuni zinapaswa zisimamiwe na upinzani...........
CCM ikiongozwa na kanuni za mfumo wa chama kimoa imemtumia Spika Anne Makinda ambaye anakumbukwa kuwepo hata kwenye baraza la mawaziri la Nyerere...............................kuongoza katika kulipotosha Bunge ili likubaliane na kanuni ambazo zinawaruhusu wabunge wa chama tawala kushiriki katika chaguzi zinazohusu vyeo vya upinzani Bungeni.........................
Lengo ni CCM kwa kutumia uwingi wao bungeni kuwachagulia mamluki kama Cheyo ili kupooza au ahata kuzima kabisa vuguvugu la mageuzi ya mfumo mzima wa uendeshaji wa taifa hili na kukwepa kukemea maovu hapa nchini.....................
nguvu kubwa ambayo CCM wameitumia bungeni kurekebisha hizo kanuni lengo lake ni kuendelea na ufisadi na vyama haramu kiupinzani kama CUF ambayo sote tunajua ni CCM-B na UDP viendelee kukilinda.............................
katika kampeni za kupata vyeo hivyo, Cheyo aliwaponda Chadema na kudaio uchaguzi ulikwisha na asiyekubali kushindwa siyo mshindani......................ikiashiria anaafiki Jk alichaguliwa bila ya zengwe jambo ambalo Chadema wanalipinga........
Kamati zote huteuliwa na Spika lakini swali la kimsingi ni kuwa hivi Chadema watakuwaje chama rasmi cha upinzani Bungeni kwa kutokuwa na sauti ya kuchagua wenyevitebe wa kamati tajwa.............................na lipo swali jingine la kimsingi hivi Spika anatumia vigezo gani katika kuunda kamati hizo zinazopaswa kusimamiwa na upinzani.........kama haheshimu idadi halisi ya viti vya wabunge ili kuhakikisha wapinzani ndiyo wanakuwa ni wengi kwenye Kamati hizo ili wasije kuzidiwa nguvu na wabunge wa CCM ambao wanatoka chama tawala?
Nionavyo Spika makinda hii kazi hataiweza kwa sababu ya malezi aliyoyapata ni ya mfumo wa chama kimoja na hivyo kakosa utashi wa kubadilika kwendana na mfumo wa vyama vingi.....................
katika kipindi cha mpito cha mfumo wa vyama vingi chama tawala kilishiriki kuwachagulia wapinzani wenyeviti wa kamati ambazo hupaswa kuzisimamia..........hivyo ungelikitegemea
mgogoro uliopo Bungeni ni kama wabunge wa CCM wanayo mamlaka ya kushiriki kupiga kura za kuchagua wenyevitebe vya kamati za kusimamia matumizi ya serikali kuu, serikali ya mitaa na mashirika ya umma......................kamati ambazo kwa mujibu wa kanuni zinapaswa zisimamiwe na upinzani...........
CCM ikiongozwa na kanuni za mfumo wa chama kimoa imemtumia Spika Anne Makinda ambaye anakumbukwa kuwepo hata kwenye baraza la mawaziri la Nyerere...............................kuongoza katika kulipotosha Bunge ili likubaliane na kanuni ambazo zinawaruhusu wabunge wa chama tawala kushiriki katika chaguzi zinazohusu vyeo vya upinzani Bungeni.........................
Lengo ni CCM kwa kutumia uwingi wao bungeni kuwachagulia mamluki kama Cheyo ili kupooza au ahata kuzima kabisa vuguvugu la mageuzi ya mfumo mzima wa uendeshaji wa taifa hili na kukwepa kukemea maovu hapa nchini.....................
nguvu kubwa ambayo CCM wameitumia bungeni kurekebisha hizo kanuni lengo lake ni kuendelea na ufisadi na vyama haramu kiupinzani kama CUF ambayo sote tunajua ni CCM-B na UDP viendelee kukilinda.............................
katika kampeni za kupata vyeo hivyo, Cheyo aliwaponda Chadema na kudaio uchaguzi ulikwisha na asiyekubali kushindwa siyo mshindani......................ikiashiria anaafiki Jk alichaguliwa bila ya zengwe jambo ambalo Chadema wanalipinga........
Kamati zote huteuliwa na Spika lakini swali la kimsingi ni kuwa hivi Chadema watakuwaje chama rasmi cha upinzani Bungeni kwa kutokuwa na sauti ya kuchagua wenyevitebe wa kamati tajwa.............................na lipo swali jingine la kimsingi hivi Spika anatumia vigezo gani katika kuunda kamati hizo zinazopaswa kusimamiwa na upinzani.........kama haheshimu idadi halisi ya viti vya wabunge ili kuhakikisha wapinzani ndiyo wanakuwa ni wengi kwenye Kamati hizo ili wasije kuzidiwa nguvu na wabunge wa CCM ambao wanatoka chama tawala?
Nionavyo Spika makinda hii kazi hataiweza kwa sababu ya malezi aliyoyapata ni ya mfumo wa chama kimoja na hivyo kakosa utashi wa kubadilika kwendana na mfumo wa vyama vingi.....................