MpigaFilimbi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,169
- 182
wabunge wa CCM ni hasara tupu!! sasa wameaibika, wanatafuta pa kufichia sura zao, hawana namna ya kuchangia!!
Ni wabunge wa dar pekee yao wanaoweza kutoka watoto wa mjini wanaoweza kumpinga waziri wa serikali yao ya ccm,mnacheza na zungu,azan,na bonge wa temeke wakiongozwa na mnyika
Kwa katiba ilivyo sasa Rais akivunja bunge anapaswa kuitisha uchaguzi mpya wa rais na wabunge
Wakuu naomba msaada hapo kwenye red; hivi Kikatiba ikitokea Rais akalivunja Bunge na kuitisha uchaguzi (mkuu?) je; uchaguzi huo unahusu pia kumchagua rais au ni wabunge tu?
Kama unahusu pia kumchagua rais sitegemei hilo la Rais kuvunja Bunge litokee kamwe kwa Tz ila kama urais hausiki hata mie nashangaa JK anaogopa au anasubiri nini? Hili bunge lilitakiwa liwe limevunjwa tangu siku ile ile alipolizindua kwani lilishaonesha kuchoka tangu wakati huo hasa uchaguzi wa Spika.
Naomba ufafanuzi tafadhali.
Uchaguzi ukifanyika leo JK hapiti acha kujifarijiuchaguzi unakuwa ni kwa wote pamoja na Raisi lakini kwa mazingira ya kwetu yeye ana uwezekano mkubwa wa kurudi kuliko wabunge na pia ikiwa yeye ni bado Mwenyekiti kuna uwezekano mkubwa wa kuwapiga chini waliompinga katika mchujo chamani.
Naamiini wabunge wa CCM hawawezi kucheza kamari hiyo.
Uchaguzi ukifanyika leo JK hapiti acha kujifariji
Pumba hizo, juzi Kikwete kasema hata CCM wamempelekea mapendekezo manane ya marekebisho ya sheria.
Tena kumbuka, kwa sasa hatuongelei "muswada", tunaongelea sheria, usipotoshe.
kampeni imeendeshwa leo kwa wabunge wa CCM kuhakikisha kuwa nao kesho watatoka nje ya bunge ili kutuma ujumbe serikalini na kwa rais kikwete kuwa hawakufurahishwa,wamedhalilishwa na hawako tayari kujadili muswada wa katiba mpya uliorudishwa na rais kwa mapendekezo ambayo CHADEMA na wanaharakati mbalimbali waliyaratibu na kumshawishi rais kuona umuhimu wa kuweka pembeni ule muswada wa awali ambao tayari ulipitishwa na wabunge
huo ndio upepo wa leo hapa DODOMA
Jamani huyu mzee si alishasema yaishe maana siku ile alikuwa kwenye dozi ya malaria??
jamani tuweni na huruma tusiendelee kumuanika. lol