USTAADHI
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 1,516
- 136
kampeni imeendeshwa leo kwa wabunge wa CCM kuhakikisha kuwa nao kesho watatoka nje ya bunge ili kutuma ujumbe serikalini na kwa rais kikwete kuwa hawakufurahishwa,wamedhalilishwa na hawako tayari kujadili muswada wa katiba mpya uliorudishwa na rais kwa mapendekezo ambayo CHADEMA na wanaharakati mbalimbali waliyaratibu na kumshawishi rais kuona umuhimu wa kuweka pembeni ule muswada wa awali ambao tayari ulipitishwa na wabunge
huo ndio upepo wa leo hapa DODOMA
huo ndio upepo wa leo hapa DODOMA