Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Kuna watu humu kama Arushaone, Erickb52, Mr Rocky, Asprin, PakaJimmy Bishanga, na hata mwanzisha thread Ruhazwe JR hawataweza kupiga kura humu..............jamaa ni dhaifu kwa warembo watashindwa kuchagua..........sie freelance haoooooo................ Mie kweli kura yangu imedondokea kwa my waifu wa Baba V Arabela.............. Ruttashobolwa tokea apewe kibuti hata kuchungulia humu hataki
Kesho mchana kutakuwa kuna party ya mbege kwa wapiga kura wote, bureeeeeee, venue ni bilicanas.
Baba V unajua kura siku hizi zinauzwa?
Angalia UWT na UVCCM
arabela arabela arabela arabela arabela arabela arabela arabela arabela arabela arabela arabela pliiiiiiiz vote for arabela
Kuna watu humu kama Arushaone, Erickb52, Mr Rocky, Asprin, PakaJimmy Bishanga, na hata mwanzisha thread Ruhazwe JR hawataweza kupiga kura humu..............jamaa ni dhaifu kwa warembo watashindwa kuchagua..........sie freelance haoooooo................ Mie kweli kura yangu imedondokea kwa my waifu wa Baba V Arabela.............. Ruttashobolwa tokea apewe kibuti hata kuchungulia humu hataki
"Mzee wa hukumu"
Where do i send my value vote ?
Just a littlebit am waitin contestants list , then i'll be make my Judgement ! Decision .
hii ndo nafasi ya kukumbushia ile pm yangu ya tongozo. mia
Hahahahaha
Mbona nimepiga kura au unioni kivip?
Nime pigwa kibuti na nani?
Nimekupendaje beibe nasty , mzima weyeeearabela arabela arabela arabela arabela arabela arabela arabela arabela arabela arabela arabela pliiiiiiiz vote for arabela