Hahaaa si sheikh yahaya alisema kana sura ya kike
Kwakweli Kikwete anajua sehemu ambapo atapatia kura. ndio maana anakazania kusema atashinda amepandisha hospitali, anwanunulia bajaji wajawazito, nami kwa maoni yangu katika eneo ambapo chadema wanatakiwa walifanyie kazi ni kupata support kutoka kwa wanawake. eneo hili linawapiga kura wengi sana. Chadema elezeni sera zenu kuhusu wanawake katika kila mikutano ya kampeni, hospitali, maji, na vitu kama mtawawezeshaje wanawake katika kujikwamua kiuchumi. Bado wanawasiwasi katika meneo haya. jaribuni kufuatilia midahalo, maswali mengi wanayouliza wanawake ni kuhusu hospitali.
hii ni kwa hisani ya Azadirachta:
Hii ni kwa hisani ya mtani wangu wa jadi Kibunango:
wale wachafuzi wa threads (malaria sugu na wenzako) mkae mbali kabisaaa na msilete upupu wenu hapa. Hii ni thread ya kuonesha kinachoendelea kwenye mikutano/kampeni za kikwete: