Kampeni hizi zinafaa?ccm na ukawa,

Kampeni hizi zinafaa?ccm na ukawa,

Kimbunga2

Senior Member
Joined
Mar 23, 2014
Posts
144
Reaction score
30
Leo ndo ufunguzi wakampeni,kwa chama cha mapinduzi,sherehe imenoga sana,ila maudhui ya sherehe yamekuwa tofauti kwakuwa kauli zilizo 2mika,nadhani zimekuwa kali sana,naomba usahihi wamaneno mengi aliyo yasema makongoro nyerere,kumvaa mh,sumaye nisahihi?maneno aliyo yatoa mzee mkapa yanaelewa kweli?kwa wakati huu?naomba mchango wenu wana jf.
 
Back
Top Bottom