Chifu kamaliza
Member
- Nov 17, 2011
- 32
- 5
Jamani kampeni za arumeru mashariki zimeanza kimya kimya niko huku nyumbani tangu jnne maeneo ya usa,magadini ,lekitatu na doli relini kote huko nimewaona magambaz wako kwenye vikao na mabalozi,wenyeviti wa mitaa na makada wa ccm wanajadili jinsi ya kuwakabili chadema na ushindi kwa mgombea wao kwa siku wanafanya vikao zaidi ya 5. Je kampeni zimeshaaza jamani? Na kama zimeanza chadema mkowapi na sisi tupange jinsi ya kuwakabili magambaz na ushindi kwa mgombea wetu Nimesikia leo usiku kuna kiongozi toka taifa na anakuja kufanya kikao kitafanyika kwa mwenyeviti wa mtaa wa lekitatu nitakuwa nao pamoja nitawajuza watakacho zungumza huko.