PETER JOHN MLAY
Member
- Feb 16, 2012
- 27
- 13
Mbio za kuwania ubunge kwa jimbo la Arumeru mashariki zimeanza kwa kila chama kuteua mwakilishi wake. Kwa jinsi yeyote ile CHADEMA kinaonekana kuwa na mtaji mkubwa sana katika jimbo hili.
Kwanza ni kura za mgombea wa CHADEMA aliye pambana kiume uchaguzi uliopita na kuambulia nafasi ya pili baada ya kura nyingi sana kuibwa na chama tawala, lakini jambo la pili muhimu ni nguvu ya CHADEMA Arusha mjini jimbo lililo karibu kabisa na jimbo hili la Arumeru Mashariki. Usisahau makamanda wapiganaji wote wanao toka Arusha mjini watakwenda Arumeru kirahisi na kutawala kampeni zitakapo anza.
Mtaji huu ukitumiwa vema, CCM hawatatoka Arumeru, huu ni wakati wa kunoa majembe kwani muda si muda mambo hote yatakuwa ni Arumeru.
Kwanza ni kura za mgombea wa CHADEMA aliye pambana kiume uchaguzi uliopita na kuambulia nafasi ya pili baada ya kura nyingi sana kuibwa na chama tawala, lakini jambo la pili muhimu ni nguvu ya CHADEMA Arusha mjini jimbo lililo karibu kabisa na jimbo hili la Arumeru Mashariki. Usisahau makamanda wapiganaji wote wanao toka Arusha mjini watakwenda Arumeru kirahisi na kutawala kampeni zitakapo anza.
Mtaji huu ukitumiwa vema, CCM hawatatoka Arumeru, huu ni wakati wa kunoa majembe kwani muda si muda mambo hote yatakuwa ni Arumeru.