Kampala: Mwandishi auawa kwa kupigwa Risasi

Kampala: Mwandishi auawa kwa kupigwa Risasi

Mawele

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2023
Posts
947
Reaction score
3,312
Mwandishi wa habari mkongwe nchini Uganda Joe Nam, mwenye umri wa miaka 55, alifanya kazi katika vyombo vya habari vya serikali kwa miongo mitatu kabla ya kustaafu na aliandika kitabu kinachozungumzia matokeo yanayoweza kushuhudiwa Uganda pale Rais Yoweri Museveni aliyetawala nchi hiyo kwa muda mrefu atakapoondoka madarakani.

Naibu msemaji wa Polisi Luke Owoyesigyire amesema uchunguzi unaendelea lakini ule wa awali umebainisha kuwa Joe Nam aliuawa usiku wa kuamkia jana Jumapili na mtu aliyekuwa ameficha uso wake na kwamba mshambuliaji huyo alifanikiwa kuondoka eneo la tukio.

Screenshot 2026-04-20 at 08-50-04 Instagram.png
 
Back
Top Bottom