Brigedia Chan-ocha
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 1,353
- 2,846
Kuna Taarifa ambazo si rasmi kwamba, kamishna wa madini wa wizara ya nishati na Madini alisimamishwa kimya kimya bila habari zake kutangazwa.
Vile vile, kamishna wa Nishati wa wizara hiyo naye alisimamishwa kimya kimya, Gazeti la Mtanzania limelipoti kwamba,.
"Kwa taarifa walizonazo ambazo bado hazijathibitishwa ni kwamba makamishna hao wamesimamishwa kimya kimya".
Vile vile, kamishna wa Nishati wa wizara hiyo naye alisimamishwa kimya kimya, Gazeti la Mtanzania limelipoti kwamba,.
"Kwa taarifa walizonazo ambazo bado hazijathibitishwa ni kwamba makamishna hao wamesimamishwa kimya kimya".