Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Wote wanaolalamika kuhusu udini hawana hoja na malalamiko yao yameegemea zaidi kwa kuangalia majina ya watu na wala hamna hata mmoja aliesema anasali kanisa moja na Ernest kwa hiyo anamjua kuwa ni mkristo safi au anaswali msikiti mmoja na Abdurahman kwa hiyo ni mwislamu safi. Wote wanaangalia majina tu na kuanza kulalamika udini inabidi sasa Serikali ianze kuteua watu na kutangaza kwa majina yetu ya kibantu kama vile IGP wangesema ni mangu na msaidizi wa IGP ni Kaniki sidhani kama hizi comment za udini zingekuwepo. Tuachane na haya masuala ya udini jamani...tutakosa wachapakazi na waadilifu kisa dini....
Chama chako CCM ndio waasisi wa Udini