....dada yangu yamenikuta kama ya jimmy (my x sio jina lake halisi) na loyce (my former maid); Elisha (mume wa mdogo wangu sio jina lake) kambaka msichana wa kazi, nilikuwa 9t, kesho nitampelka hospt ili twende police, mengi ntakupigia kesho......aisee una hakika amebaka au hasira zako zinakupelekea kusema hivyo?kumbuka unaweza kuta walikubaliana kupeana raha.mbili,be carefull ukiwa unadeal na wapendanao,unaweza kujititimua na kumshikilia bango waachane halafu mwisho wa siku akarudi mwenyewe kwa jamaa huku wewe ukionekana ****
lakini what is it with you na ndugu zako
and the type of men you pick.....????????
Kaunga sorry for saying this but mara nyingi katika post zako umeonesha jinsi ulivo na hasira dhidi ya wanaume, I hope kua utapomshauri mdogoko utaweka hio hasira pembeni walau briefly... B2T...
Haya ni mambo magumu saana, hasa yanapo husu wanandoa.... Many things have to be taken in consideration kabla mdogo wako hajaamua lolote. Vitu kama wanaishi vipi na mumewe? Ilikuaje mpaka mumewe akalala na huyo house gal? Tabia ya mumewe dhidi ya wanawake wengine (je ni kicheche?)? Attitude ya mumewe baaada ya kufumaniwa... Umri wa ndoa yao... Wana/hawana watoto? Applicability ya nafasi ya huyo mume ndani ya ndoa.... Na most importantly does she still have feelings for the hubby?
Mumewe anafanya kazi kwenye machimbo (geita) hivyo huonana weekend (l am sure lazima atakuwa na mtu kule)
Sorry nilipata wageni; ngoja nijaribu kujibu nitakayoyaweza!
Ndoa yao ina kama miaka 4 sasa (uchumba wa 3yrs); hawajabahatika kupata mtoto Mdogo wangu ana shida kwenye mirija na mumewe ana low sperm count.
Last time tumeonana na mdogo wangu kwenye msiba (complains za infedality zilikuwepo). Mumewe anafanya kazi kwenye machimbo (geita) hivyo huonana weekend (l am sure lazima atakuwa na mtu kule)
Kibinti kilichobakwa kiko less than 16yrs; mdogo wangu alitaka kumpeleka hospital lakini kwa madai yake mume aliwafukuza wote; binti yuko kwao, mdogo wangu alilala kwa shoga zake. Imebidi nimtumie Mpesa ili apate hata kula. Nyumba imefungwa, mume karudi machimboni, nimemwambia avunje ili aingie. (wamejenga wote)
Ashadii; l know na ndio maana nimeomba kupata ushauri (same story ilihappen to me; nikuonesha SMS aliyonitumia usiku; alirefer to my issue). Kwangu mimi pamoja na kwamba ilkuwa the first incident niliend relationship; na sijuitii.
Looks like a family curse eeh!!!!
Nilivyokuwa binti kidogo shemeji yangu aning'ang'anie; l told mama. Tukiacha utani, experience zangu za male sp sio nzuri sana; mwanzo l vowed not to get married but maumbile yalisumbua! LOL
Wakae Wayamalize kuachana si suluhu kwani hakuna mwanaume mkamilfu linapokuja suala la wanawake, ingawa ubakaji ni suala gumu kidogo.
labda mimi niko tofauti mno.....
kila mwanaume mwenye uwezo wa kuwa na mke
hawezi kukosa access ya wanawake as many as he wants..
sasa why 'kubaka' housegirl????
Sio hivyo The Boss,kumbuka kosa si kosa bali kosa ni kurudia kosa,kumbuka sote ni wadhaifu na kuna wakati shetani anatuzidi nguvu hata Yesu alisema kwa yule mwanamke kuwa Asiye na dhambi na ampige huyu mama kwa mawe....je nani msafi kati ya wanadamu?????
The boss you might be right to some extent, though l have never seen my father raising a finger to my mother, a voice yes! Cheating, well yes hadi waliseparate for 6 months, lkn ilichangiwa kwa kiasi kikubwa na my aunties!
You are definetely right about founding wanaume wapole boring! Lkn kinyume cha upole sio kuwa abusive! I am attracted to mature, fun loving guys, bahati mbaya wengi wanakuwa vicheche!