Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,433
- 38,402
Nipo huku weekend! Ntakuletea MAGIMBI na NGURUKA!
Moro ndo home
Moro ndo home
Halafu sijawahi kula nguruka ila kila nikienda sokoni wananivutia balaa na ile chumvi.Nipo huku weekend! Ntakuletea MAGIMBI na NGURUKA!
Halafu sijawahi kula nguruka ila kila nikienda sokoni wananivutia balaa na ile chumvi.
Teh tehUmefunga funga mpk kakako umenifungia!
Teh teh
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Sio powa! Fanya kuniita basi
Habari hii nimeshaitolea ufafanuzi siku za nyuma. Lakini kwa ufupi unayesema ni Juma Kilaza siye kabisa, umekosea huyo kwenye picha aliyeshika gitaa la rythm ni Ally Saidi ambaye alikuwa Cuban Marimba, TK Lumpopo na baadae alihamia Urafiki Jazz band anayefutia kwenye picha ni Juma Bamam aliyekuwa akipiga drums sijui imekuwaje ameshika gitaa kwenye picha hii. Juma Kilaza hayupo kwenye kipande ulichoweka yeye alikuwa hapigi gitaa. Alikwa kiongozi,mwimbaji na mtunzi mkuu wa bendi ya Cuban Marimba, TK Lumpopo, Magola International na hatimaye Les Cuban kabla hajastaafu muziki na alifariki 27.02.2003Tumekuelewa kilazaView attachment 1238846
Sijazaliwa Moro,Sema naijuwa Moro yote na vitongoji vyake na Watu Wake.Nimezaliwa Morogoro!
Nimekulia Morogoro!
Nimesomo Morogoro secondary
Chuo pia Morogoro!
Nimeishi na wazazi wng mtaa mmoja na Mkali JUMA KILAZA (RIP)
Juma Shabaan (Yanga legend?) na ADAM SABU (SIMBA legend) walikuwa majirani zetu!
Naipenda Moro
Kilaza alikuwa mwanamuziki ambaye alishindwa vibaya na mbaraka mushehe banda ya kushindanishwa kwenye shindano la music. Hivyo tokea wakati huo ukishindwa jambo lolote unapewa jina la kilaza.Nje ya mada mkuu Mfano ukiwa huna akili/ performance yako ikawa chini unaitwa kilaza
nataka kuuliza je huyu juma kilaza ndo (jina lake linatumika Kama SI-UNIT ya pumbavu) Au ni rare coincidence ?