Kambi ya Lowassa yaibuka kidedea UVCCM Arusha

Napata wasiwasi sasa....
Huyu bwana huenda kweli akashinda urasi, maana nilidhania watu wanatambua makosa yake kumbe wanamsherehekea.
Sina la kusema but nimehamini jamaa anaweza kuchukua dola yetu hapo nchini.
Yangu macho....ngoja nisubiri na kuona nini kitajiri.
 
Kama eddo anashinda kiduchu hata arusha huko liwale itakua vp
 
Hashikiki ndani ya hicho chama cha mafisadi, tunamsubiri huku nje tumtie shinikizo la damu kwa matokeo ya ajabu ambayo hajawai kuyafikiria.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

kabisa. wao ccm si wanajifanya nchi ni ya kwao sasa wasubiri 2015 tutakapo waonesha watanzania tunataka nini kwa maendeleo yetu.
 
wewe unadhani huyu akisimama na Dr wa ukweli Mh wilbrod Slaa ataambulia kura ngapi? amini usiamini hata mil 1 hatapata. hao ccm wenyewe siku hizi wana kadi 2, moja ya huko wanachumia tumbo na nyingine ya CHADEMA. wanajua yeyote atakaye gombea na SLAA lazima achezee kichapo.
 
Fisadi Lowassa nani ataweza kumshika wakati nchi yote inanuka rushwa!? Nchi ingekuwa na utawala bora huyu hata asingethubutu kutamka kama anataka kugombea ubalozi wa nyumba kumi kumi!!! achilia mbali kutaka kuwa Rais.
 
Hashikiki ndani ya hicho chama cha mafisadi, tunamsubiri huku nje tumtie shinikizo la damu kwa matokeo ya ajabu ambayo hajawai kuyafikiria.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

wasiwasi wangu na wale wa kule sigimbi mkuu. wanaelewa unacho kiseam? wanapata kusikia sauti yako? jitihada zetu zipo hapa JF, lakini kule kwenye root bado kabisa
 
Acheni kumsulubu mtu bila ushahidi.ufisad wa lowasa ni upi?hebu tajeni kwa ulinganifu na jk na riz,membe na sita
 
Acheni kumsulubu mtu bila ushahidi.ufisad wa lowasa ni upi?hebu tajeni kwa ulinganifu na jk na riz,membe na sita

Bahati nzuri wote CCM ni mafisadi. Lazima tuwaumbue 2015.
 
Reactions: BAK
Hivi Mary Chatanda bado yupo Arusha?yule mwanamke ni jasiri na katili sana!!anakomaa sana!!kweli njaa kitu kibaya sana!!ataishia pabaya sana huyu mama
 
Fisadi Lowassa nani ataweza kumshika wakati nchi yote inanuka rushwa!? Nchi ingekuwa na utawala bora huyu hata asingethubutu kutamka kama anataka kugombea ubalozi wa nyumba kumi kumi!!! achilia mbali kutaka kuwa Rais.
Mkuu BAK, nakushukuru kuanza kuukubali ukweli mchungu!. Kwa vile Tanzania ni nchi ya wala rushwa, inamaa kiongozi bora wa nchi yetu ni yule anayejua kutumia vizuri hii rushwa na bingwa wa matumizi ya fedha anafahamika!. Nawaombeni sana, tuipuuzie kabisa ile kauli ya Baba wa Taifa kuhusu hawa watu wa "kuogopwa kama ukoma". Sasa ndio tuwapende kama mboni za macho yetu!.

Na maadamu Tanzania tumekubali kuwa ni nchi ya ufisadi!, then, kiongozi bora wa taifa hili, shurti awe pia ni bingwa wa ufisadi!, hivyo kuelekea 2015, Watanzania watanchagua kiongozi mwenye ubora wa vigezo hivyo!, wewe jiulize jee mgombea wako anavyo vigezo vya kuchagulika?.

Kama CCM ilipiga vuvuzela la kuchafuliwa na mapacha watatu!, kwa ni nini wasingeweka vigezo ile kuchafuliwa tuu, ni sababu tosha ya kutothubutu hata kuomba fomu ya kugombea, achilia kuijaza, kuirejesha, kupitishwa bila kupingwa na sasa ntu kama Chenge anasubiri tuu kutangazwa rasmi ndie mjumbe wa NEC!.

2015 ni CCM Tena!.
P.
 

Waandishi wetu wa habari bado wanasafari ndefu sana,sasa ukisoma habari hiyo unashindwa kuelewa membe anaingiaje arusha kikubwa hapo ni hisia tu na umbea kutoka kwa magamba walioko katika kambi ya EL lakini kikubwa zaidi ushahidi wa mazingira hapo lazima kambi ya mzee iliwatumia ipasavyo waandishi wa habari kwa bei nafuu-safari bado ndefu kwa vyombo vya habari
 
Hashikiki ndani ya hicho chama cha mafisadi, tunamsubiri huku nje tumtie shinikizo la damu kwa matokeo ya ajabu ambayo hajawai kuyafikiria.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

hilo nalo neno waache wadanganyane tukutane 2015
 

Mmmhh! Hata mimi sichelewi kusema lowassa is a next president, hapa ndipo nisipowaelewa watanganyika, maneno mengi vitendo hakuna. Pamoja na kashfa zote za rushwa za lowassa, lakini kila anapopita anashangiliwa kwa nguvu na anashinga kwa kasi, watu hao hao ndio wanalamika kuwa lowassa ni fisadi, akitokea lowassa mbele yao wanamshangilia na kumsujudu.kwa kasi hii lowassa ni rais 2015. Je watanganyika tumelogwa na nani aliyetuloga?
 

Mkuu usitoe mapovu, huo ndio ukweli wenyewe.

Karibu kila ngazi ya uongozi ndani ya CCM iliyokuwa ikigombaniwa lazima makundi makuu matatu ya kambi za wagombea urais ndani ya CCM yalijitokeza. Sasa Arusha kambi ya Lowassa imezinyoa kambi zingine vipara!!!
 
kwa bahati nzuri nilishushiwa hizo ndoto mapema kuwa the next prezda ni lowasa ndo mana kwa sasa siumizi kichwa,.kuna mkuu hapo anahoji ushndi wa lowasa arusha kuwa ni wa kiduchu vp liwale? ni jikumu lake kufanya tafti kwa msaada tu ni kuwa awana mdogo aliempiga chini chikawe ni mtu wa edo damdam,pili alieshnd mkt uvccm lindi ni wa edo damdam kwa hayo unasemaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…