Sisi hakuna haja ya sample kwa kuwa tunanunua rangi yoyote, cha msingi wawe hai na wakubwa kuanzia gram 500 kuendelea.Unapatikana wapi kwa dar nikuletee sample'
Pia umeshaanza kupokea?
Vipi kuhusu malipo unalipa nikikuletea mzigo au baada ya muda gani?