Kamati ya ufundi timu ya wabunge

Ngongo

JF-Expert Member
Sep 20, 2008
18,926
31,169
Wakuu hii imekaaje !

Leo asubuhi kipindi cha jambo leo walimwonyesha spika wa bunge akitanagaza kamati ya ufundi ya timu ya wabunge.

[1] Steven Ngonyani aka Professor Maji marefu Mbunge wa Korogwe.

[2] Dr Shukuru Kawambwa Mbunge wa Bagamoyo

[3] Hawa Ghasia Mbunge wa Mtwara

[4] Khalifa Hilal Aeshi Mbunge Sumbawanga Mjini

[5] Khalifa Khalifa Mbunge wa Wete Pemba

[6] Maria Hewa Viti Maalum Mwanza

[7] Mizengo Pinda Mlezi wa Kamati ya ufundi Mbunge wa Sumbawanga.

Wajumbe wote wa kamati ya ufundi wanatoka maeneo yanayosifika kwa uchawi/ushirikina.Hivi hii timu ikishiriki ligi kuu Tanzania kuna timu ya kuifunga hata Yanga iliyochukua ubingwa kwa tofauti ya goli moja hakika ikikumbana na timu ya wabunge wangefungwa goli nyingi.
 
Wakuu hii imekaaje !

Leo asubuhi kipindi cha jambo leo walimwonyesha spika wa bunge akitanagaza kamati ya ufundi ya timu ya wabunge.

[1] Steven Ngonyani aka Professor Maji marefu Mbunge wa Korogwe.

[2] Dr Shukuru Kawambwa Mbunge wa Bagamoyo

[3] Hawa Ghasia Mbunge wa Mtwara

[4] Khalifa Hilal Aeshi Mbunge Sumbawanga Mjini

[5] Khalifa Khalifa Mbunge wa Wete Pemba

[6] Maria Hewa Viti Maalum Mwanza

[7] Mizengo Pinda Mlezi wa Kamati ya ufundi Mbunge wa Sumbawanga.

Wajumbe wote wa kamati ya ufundi wanatoka maeneo yanayosifika kwa uchawi/ushirikina.Hivi hii timu ikishiriki ligi kuu Tanzania kuna timu ya kuifunga hata Yanga iliyochukua ubingwa kwa tofauti ya goli moja hakika ikikumbana na timu ya wabunge wangefungwa goli nyingi.

Peter Serukamba-Kigoma Mjini
 
[1] Steven Ngonyani aka Professor Maji marefu Mbunge wa Korogwe.

[2] Dr Shukuru Kawambwa Mbunge wa Bagamoyo

[3] Hawa Ghasia Mbunge wa Mtwara

[4] Khalifa Hilal Aeshi Mbunge Sumbawanga Mjini

[5] Khalifa Khalifa Mbunge wa Wete Pemba

[6] Maria Hewa Viti Maalum Mwanza

[7] Mizengo Pinda Mlezi wa Kamati ya ufundi Mbunge wa Sumbawanga.


NDUGU MPENDWA KWANZA NAPENDA KUKUAKIKISHIA HAPO KARIBU WOTE WAMEINGIA KWA NJIA YA UCHAWI WA WAGANGA HUKO BUNGENI SASA NAHISI UNAWEZA KUJUA KAZI ZAO ZITAKUWA NINI
 
NDUGU MPENDWA KWANZA NAPENDA KUKUAKIKISHIA HAPO KARIBU WOTE WAMEINGIA KWA NJIA YA UCHAWI WA WAGANGA HUKO BUNGENI SASA NAHISI UNAWEZA KUJUA KAZI ZAO ZITAKUWA NINI[/QUOTE]

Mkuu ebu tuambie kazi zao.
 
Back
Top Bottom