Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,926
- 31,169
Wakuu hii imekaaje !
Leo asubuhi kipindi cha jambo leo walimwonyesha spika wa bunge akitanagaza kamati ya ufundi ya timu ya wabunge.
[1] Steven Ngonyani aka Professor Maji marefu Mbunge wa Korogwe.
[2] Dr Shukuru Kawambwa Mbunge wa Bagamoyo
[3] Hawa Ghasia Mbunge wa Mtwara
[4] Khalifa Hilal Aeshi Mbunge Sumbawanga Mjini
[5] Khalifa Khalifa Mbunge wa Wete Pemba
[6] Maria Hewa Viti Maalum Mwanza
[7] Mizengo Pinda Mlezi wa Kamati ya ufundi Mbunge wa Sumbawanga.
Wajumbe wote wa kamati ya ufundi wanatoka maeneo yanayosifika kwa uchawi/ushirikina.Hivi hii timu ikishiriki ligi kuu Tanzania kuna timu ya kuifunga hata Yanga iliyochukua ubingwa kwa tofauti ya goli moja hakika ikikumbana na timu ya wabunge wangefungwa goli nyingi.
Leo asubuhi kipindi cha jambo leo walimwonyesha spika wa bunge akitanagaza kamati ya ufundi ya timu ya wabunge.
[1] Steven Ngonyani aka Professor Maji marefu Mbunge wa Korogwe.
[2] Dr Shukuru Kawambwa Mbunge wa Bagamoyo
[3] Hawa Ghasia Mbunge wa Mtwara
[4] Khalifa Hilal Aeshi Mbunge Sumbawanga Mjini
[5] Khalifa Khalifa Mbunge wa Wete Pemba
[6] Maria Hewa Viti Maalum Mwanza
[7] Mizengo Pinda Mlezi wa Kamati ya ufundi Mbunge wa Sumbawanga.
Wajumbe wote wa kamati ya ufundi wanatoka maeneo yanayosifika kwa uchawi/ushirikina.Hivi hii timu ikishiriki ligi kuu Tanzania kuna timu ya kuifunga hata Yanga iliyochukua ubingwa kwa tofauti ya goli moja hakika ikikumbana na timu ya wabunge wangefungwa goli nyingi.