Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,743
Tanganyika ya wadanganyika, hizo nguzo zinazotolewa na kupelekwa Mombasa na kurudi nazo wamezingelea au wameishia kubwabwaja tu kuhusu kanuni na sheria za manunuzi? Tangu mwanzo tulijua kuwa walikiuka hizo kanuni za kifisadi lakini kwa maslahi mapana ya umma. Bei ya kulipia nguzo moja ya umeme ilikuwa shilingi ngapi kabla ya Maswi na Profesa kuingia wizarani na sasa ni shilingi ngapi?
Kamati ya Ngwilizi, huyu ambaye ana hekaru kule Lushoto pamoja na Ben? I will be the last to trust them.
Mimi Binafsi, niliposikia Kamati hiyo inaongozwa na Ngwilizi, nilishakata tamaa na kujiaminisha kuwa ripoti itakayo toka lazima itatetea wabunge wa CCM na kuwageuka watendaji wa Serikali. Mimi nadhani hayo mambo ni rahisi sana, wawekwe hadharani akina Maswa na Prof, pamoja na Ngwilizi na Kamati yake, kila mmoja atoe details na information walizonazo na ushahidi wake na sisi wananchi tuamue nani ni msema kweli na nani ni mwongo. Ila kwa Ngwilizi, historia itakuhukumu muda si mrefu - Shauri yako.
Mkuu, kwani Ngwilizi mwenyeji wa mkoa gani? Kwani hiyo hekaru liko jointly OWNED na Ben!!
ni majirani na Ben kule Lushoto.
Haya sasa yale yalee sasa imekuwa unanijua mimi vizuri sana kuniita kuhadi. wee zungmzia mada iliyopo hakuna mahala panasema Mkandara ni mbunge ama amewazuia..Watu kama nyie ndio hamfai kabisa kutoa ushahidi wowote maana hamjui hata kuuleta janvini kazi kulazimisha tu watu waamini mnachosema. Kwanza umeweka maelezo yangu ktk mabano halafu ndani yake unajibu kama vile maneno yanakutokea nyuma. hata anayekusoma hataku elewa ya Mkandara yapi na yako yapi..Kisha acha matusi kama huwezi mjadala jikate kiulainiii tutakuelewa.Kuna sheria ya utumishi na mahusiano kazini lazima ifuatwe na pia taratibu za kumtia mtu hatiani katika jinai. Usijifanye kipofu unafikiri namna ya kupelekwa mbele ya sheria ni just kumburuza mtuhumiwa kwa Hakimu mahakamani.....
Kwa hiyo wewe unamuamini ngwilizi sio?
Kweli wadanganyika tunaweza
Wewe ni mnafiki na umetumwa na ninakuakikishia kuwa nia na lengo lako na wenzako halitafanikiwa.hata kama nchii iko kwenye mgao unaweza kuulinganisha na enzi zile kabla ya muhongo?sifa zake mpeni jamani.nyie ndio vibaraka wa zitto.go go go muhongo
Haya sasa yale yalee sasa imekuwa unanijua mimi vizuri sana kuniita kuhadi. wee zungmzia mada iliyopo hakuna mahala panasema Mkandara ni mbunge ama amewazuia..Watu kama nyie ndio hamfai kabisa kutoa ushahidi wowote maana hamjui hata kuuleta janvini kazi kulazimisha tu watu waamini mnachosema. Kwanza umeweka maelezo yangu ktk mabano halafu ndani yake unajibu kama vile maneno yanakutokea nyuma. hata anayekusoma hataku elewa ya Mkandara yapi na yako yapi..Kisha acha matusi kama huwezi mjadala jikate kiulainiii tutakuelewa.
Acheni ujinga wenu hakuna kutuletea hadithi hapa za nani kafanya nini wakati wewe mwenyewe upo wizarani mkitaka sisi wananchi tuamini madudu yenu. Huyo Mama Kilango anajua nini kuhusu maswala ya nishati na madini? au yeye ndiye mlimweka mkononi sasa yamewageuka mnaanza kutoka povu.
JK na Muhongo walikuwa huku Canada juzi tu na wameweka mkataba kuyalinda mashirika ya Canada sasa wewe unataka kutueleza kitu gani? Sasa anapitia hiyo mikataba ili iweje ikiwa tayari kisha anza kuyalinda kabla hata hajaipitia mikataba..Mnaongopa sana kiasi kwamba mnajisahau kuwa JF ni ukumbi wa watu waloenda shule na wanajua kupepeta pumba zinapojitokeza. katika hili nipo na Zitto na tunaona madudu yenu yanayojaribu kuyaficha maana sii mara ya kwanza ilitokea wakati wa Buzwagi Zitto akafukuzwa bungeni lakini ukweli ulikuja onekana wazi..
babykailama,
Mheshimiwa spika alivunja kamati ya mNishati na madini kwa sababu ya maelezo ya Mh.waziri ambaye yeye ndiye aliwatuhumu wabunge hao kuchukua rushwa.
Atakuwa Spika wa ajabu avunje kamati kwa sababu ya Waziri mmoja tu kutamka hivyo ebu kuwa ujue dunia hii na mifumo inavyofanya kazi. Yaani Waziri mmoja (mjumbe wa executive)atunge neno basi Muhimili mwingine (Bunge) litetemeke hadi kuvunja kamati? ....
Splendid indeed - what a brilliant analytical MIND, be blessed MKUU.
mwambie sio mgao tu na pesa zetu zilikuwa zinaliwa kwa mgao feki ili wauze mafuta kwa bei ya juu na kuingiza generator ili wauze kwa bei kubwa kumbuka kama hakuna umeme demand ya gen ni high hebu nambie toka july leo ni october kuelekea nov ...umeme upo kumbuka maelezo ya awali eti kina cha maji ...nenda nguzo moja 1 million lakini ukitathiminiwa na serikali hio hio mti mmoja kwenye shamba lako unalipwa 10.000/=
punguza jazba kidogo ,humu kuna watu wa aina zote na mawazo yao ni tofati na matarajio yakohe! sasa umeshaambiwa chanzo ni gazeti la nipashe, kanunue gazeti au azima then ndo ujue ukweli, sasa kuniita mkuda kwan i miye ndo nilikuwa mwanakamati? tatizo mnataka kuambiwa uongo,sasa ngwilizi kaupata ukweli hamuamini. siku mtakaposikia kuwa magufuli ni mla rushwa namba wani kupitia taasisi za umma kama SUMAJKT, TBA NDO HAMTAAMINI KABISAAAAA
MAANDIKO KAMA HAYA WATU KAMA Mkandara inabidi wayasome . Inaelekea hapa baadhi ya watu wanataka kubadili mjadala na kuanza ushabiki wa Zitto v/s Prof Muhongo .mwambie sio mgao tu na pesa zetu zilikuwa zinaliwa kwa mgao feki ili wauze mafuta kwa bei ya juu na kuingiza generator ili wauze kwa bei kubwa kumbuka kama hakuna umeme demand ya gen ni high hebu nambie toka july leo ni october kuelekea nov ...umeme upo kumbuka maelezo ya awali eti kina cha maji ...nenda nguzo moja 1 million lakini ukitathiminiwa na serikali hio hio mti mmoja kwenye shamba lako unalipwa 10.000/=