T2015CCM
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 7,931
- 987
Its very open kwamba Muhongo na maswi walipindisha utaratibu.. swali ni, Je walipindisha utaratibu kwa manufaa ya Uma au kwa manufaa ya wanyonyaji wachache? kamati ilitakiwa kujibu hili swali na sio kushadadia upindishaji wa utaratibu
I still stand for Muhongo and Maswi
wanatuibia sana,muhongo sio mwanasiasa wameona anabana na kuziba mianya ya konakona zao za wizi wameamua kumning'iniza