kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Hii kamati ya mapokezi mna maneno mengi sana.Mliisema sana Simba msimu uliopita mara ooh covid imewabeba,mara ooh sisi tukishiriki tutawaonesha mpira unachezwaje...Mungu si Athuman,Simba amewabeba mkaingia klabu bingwa.
Mechi ya kwanza tu mmeliaibisha taifa.
Basi jiandaeni kwenye kazi yenu maana mtawapokea sana wageni mwaka huu
Mechi ya kwanza tu mmeliaibisha taifa.
Basi jiandaeni kwenye kazi yenu maana mtawapokea sana wageni mwaka huu