Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,137
- 48,808
KACHEKI NIPASHE MKUU UNAWEZA KUPATA CHOCHOTE
Miongoni mwa madudu sita ni kwamba Kamati haijaiona mkataba wa Lugumi na Jeshi la Polisi. "Nitawalinda wastaafu ili waishi kwa amani". Ndg zangu issue ya Lugumi inagusa familia ya Msoga inayotakiwa kupumzika kwa amani. Tusikomalie jambo lisilowezekana kama kusaka miguu ya nyoka. Saidi Mwema na Msoga wanaoleana. Saidi Lugumi ni mkwe wa Mwema...changanya na yako.
Very short but xtremely clearMiongoni mwa madudu sita ni kwamba Kamati haijaiona mkataba wa Lugumi na Jeshi la Polisi. "Nitawalinda wastaafu ili waishi kwa amani". Ndg zangu issue ya Lugumi inagusa familia ya Msoga inayotakiwa kupumzika kwa amani. Tusikomalie jambo lisilowezekana kama kusaka miguu ya nyoka. Saidi Mwema na Msoga wanaoleana. Saidi Lugumi ni mkwe wa Mwema...changanya na yako.
Na Bungeni amna upinzani tutegemee wabunge wa ccm kuipiga danadana.Miongoni mwa madudu sita ni kwamba Kamati haijaiona mkataba wa Lugumi na Jeshi la Polisi. "Nitawalinda wastaafu ili waishi kwa amani". Ndg zangu issue ya Lugumi inagusa familia ya Msoga inayotakiwa kupumzika kwa amani. Tusikomalie jambo lisilowezekana kama kusaka miguu ya nyoka. Saidi Mwema na Msoga wanaoleana. Saidi Lugumi ni mkwe wa Mwema...changanya na yako.
Nitawalinda wastaafu wote!!
Njoo msogaNaomba kujuzwa,ile kamati ya bunge inayoshughulikia swala la lugumi imeishia wapi?
Je, kazi waliopewa wamemaliza?
Je, ripoti ya uchunguzi wameiwasilisha bungeni?
Je, Bunge limetangaza au limechukua hatua zipi kuhusu ilo swala?
Natumaini nitapata majibu ya maswali yangu.