Dini zote kitu cha Kwanza ni kuhubiri Haki, kama za Yatima, Wajane n.k. sasa hivi nchi yetu ina Kesi ya "Uhaini" ambayo Kwa sasa imesimama Kwa muda Mrefu tokea ilipo aanza, hivyo kusababisha Haki za msingi za mtuhumiwa kuvunjwa.
Mtuhumiwa yupo tayari kesi iiendele ili haki iweze kutendeka na ionekane imetendeka. Lakini wenye Kesi wenyewe, ndio wanaona kuichelewesha ndio "Haki" kutendeka. Hivyo Viongozi wetu WA dini ni vizuri wakati neno, Kwani dhuluma Kwa moja wetu, maana yake ni dhuluma Kwa wote. Leo kwangu Kesho kwako.
Hivi Kiongozi WA wasabato Bongo ni Nani??
Mtuhumiwa yupo tayari kesi iiendele ili haki iweze kutendeka na ionekane imetendeka. Lakini wenye Kesi wenyewe, ndio wanaona kuichelewesha ndio "Haki" kutendeka. Hivyo Viongozi wetu WA dini ni vizuri wakati neno, Kwani dhuluma Kwa moja wetu, maana yake ni dhuluma Kwa wote. Leo kwangu Kesho kwako.
Hivi Kiongozi WA wasabato Bongo ni Nani??