UKI
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 691
- 172
nngu007 nakubaliana na wewe mkuu kwa hiyo wa kumlaumu sio lowasa maana lowasa ndio mkuu wa kamati hiyo kwa hiyo anapewa kipaumbele zaidi wa wengine hapo tuilaumu serikali nzima ya ccm kwa mpango wao mbovu huu wa kuwapa wake za viongozi per dm maana hata kama raisi, waziri mkuu, makamu wa raisi, na mawaziri mbali mbali huwa wanaenda na wake zao hasa wale wenye uaminifu wa unafiki maana wengine wanachukua huko huko tena kwa hela zetu za wananchi masikini. na vile vile labda tupate kujua zaidi kuwa mama regina kapewa PER DM? hilo ni lamsingi kabla hatujahitimisha hoja maana kuwepo huko inawezekana anakula pamoja na mumewe na sio kama yeye. na vile vile kuna mambo makubwa ya kudiscuss jamani kuliko haya madogo madogo ya kusafiri na hivi viburudisho. mi naona bora yeye kuliko wale wanaoenda huko na kuwanunua sexworker kwa gharama kubwa na kuburudika nao huyo mama atarudi na vichange na kuvitumia hapo bongo kuliko huyo changu vidola vitabaki huko huko hatuvifaidi hata kidogo. ndio itikadi ya ccm hiyo mjomba badili taswira 2015 kuwa balozi wa kuleta mabadiliko katika jamii inayokuzunguka hapo.
Last edited by a moderator: