mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
[h=3][/h]
Kumbe na mke wa Lowassa ni mbunge siku hizi? Nisaidieni jamani. Maana naambiwa Kamati ya Bunge ya Ulinzi na Usalama ipo kazini huku 'mbunge' asiye wa viti maalumu wala kuchaguliwa Regina Lowassa na mumewe wakichukua nafasi ya mbele. Jamani nchi yetu! God forbid if anybody with common sense comes to power, chances are many will end up in Lupango. Au siyo?
Kumbe na mke wa Lowassa ni mbunge siku hizi? Nisaidieni jamani. Maana naambiwa Kamati ya Bunge ya Ulinzi na Usalama ipo kazini huku 'mbunge' asiye wa viti maalumu wala kuchaguliwa Regina Lowassa na mumewe wakichukua nafasi ya mbele. Jamani nchi yetu! God forbid if anybody with common sense comes to power, chances are many will end up in Lupango. Au siyo?