Liparamba
JF-Expert Member
- Jun 12, 2016
- 690
- 592
Asante kwa tarifa Binafsi huwa napenda sana update unazo tujulisha, ila nakusubri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutumia mitandao kufanya mkutano ni ukwepaji wa kuomba kibali polisi na kunaleta usumbufu kwa polisi wanaotakiwa wazuie mikusanyiko isiyo na kibali.
Tatizo umeshikiwa akili kiasi cha kushindwa kusoma hata ripoti ya cag. Ni chama kipi kilikuwa na hati safi ya ukaguzi wa mahesabu? Nyie nyumbu wa kijani ni janga la taifa.siku ya kufa nyani miti yote huteleza, hivyo vikao havina tija yoyote,mbowe ajibu tuhuma za ufujaji wa pesa hayo mengine ni upuuzi tu.