Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 119,148
- 221,977
- Thread starter
- #21
Mnajitekenya na kucheka wenyewe!Kwahiyo wanajadili mustakabal wa taifa wakati chama hakina ofisi kwanini wasijadili kwanza mustakabal wa chama
Mnajitekenya na kucheka wenyewe!Kwahiyo wanajadili mustakabal wa taifa wakati chama hakina ofisi kwanini wasijadili kwanza mustakabal wa chama
CCM kuna weziNika
Nikajua vigogo wapo Ccm tu kumbe hadi chadema kuna vigogo
Karibu sana usikie dira ya Taifadah
hiyo picha ya puppet, kuna namna itakua umefanya, ni makusudi kabisa sio bure bali kwa malengo mahususi ya kisiasa ambayo umekusudia kuyafikia 🤣🤣
Hicho ni kikundi cha Saccos kinatuhusu nini.Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Vigogo wa Chadema wako ndani ya Kikao kizito muda huu wakijadili masuala mbali mbali, ukiwemo mustakhabari wa Nchi .
Miongoni mwa Ajenda ni kuhusu Chaguzi za Kanda ambako Majina ya Wagombea yatapokelewa na kujadiliwa, bila ya shaka wako watakaochujwa.
Bali jambo kubwa linalosubiriwa ni DIRA YA TAIFA ITAKAYOTOLEWA NA CHAMA HICHO , ambacho sasa ni dhahiri kinaominiwa na Wananchi wote.
Awali ni Vigogo wa Chama wakiwasili kwenye Makao Makuu ya Chama hicho Mikocheni, Dar es salaam
View attachment 2987774View attachment 2987775View attachment 2987776
Usiondoke JF kwa Taarifa muhimu sana kuhusu kikao hiki
Kama Juma Nkamia😆😆😆Go! Go! Go! Chadema. Tumewachoka hawa ccm wanaomsifia Samia ili watoto wao waende shule.
Mbona Makamu chair-owner hana jeziTaarifa ikufikie popote ulipo kwamba Vigogo wa Chadema wako ndani ya Kikao kizito muda huu wakijadili masuala mbali mbali, ukiwemo mustakhabari wa Nchi .
Miongoni mwa Ajenda ni kuhusu Chaguzi za Kanda ambako Majina ya Wagombea yatapokelewa na kujadiliwa, bila ya shaka wako watakaochujwa.
Bali jambo kubwa linalosubiriwa ni DIRA YA TAIFA ITAKAYOTOLEWA NA CHAMA HICHO , ambacho sasa ni dhahiri kinaominiwa na Wananchi wote.
Awali ni Vigogo wa Chama wakiwasili kwenye Makao Makuu ya Chama hicho Mikocheni, Dar es salaam
View attachment 2987774View attachment 2987775View attachment 2987776
Usiondoke JF kwa Taarifa muhimu sana kuhusu kikao hiki
Mbona hiyo pia ni sare ya Chadema, ulitaka kombati?Mbona Makamu chair-owner hana jezi
Huku ni kwa waungwana !Mods tahadhari 🐼
Unataka kujua mwanaume anatombaje halafu unauliza mtandaoni? Mpelekee huo mkundu umuulize kwa vitendo kisha majibu ya swali lako akayokupatia ubaki nayo mwenyewe.Hivi lisu huwa anatombaje jamani na huo mguu ulivyo. Au wamevumialiana tu
Ni lini alikuwa mwembamba?Lisu kanenepa sana.
Halafu kavaa tisheti na jinzi.Ni lini alikuwa mwembamba?