Kamati Kuu ya Chadema yakutana leo Tarehe 11/05/2024 Dar es Salaam

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
119,069
221,747
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Vigogo wa Chadema wako ndani ya Kikao kizito muda huu wakijadili masuala mbali mbali, ukiwemo mustakhabari wa Nchi .

Miongoni mwa Ajenda ni kuhusu Chaguzi za Kanda ambako Majina ya Wagombea yatapokelewa na kujadiliwa, bila ya shaka wako watakaochujwa.

Bali jambo kubwa linalosubiriwa ni DIRA YA TAIFA ITAKAYOTOLEWA NA CHAMA HICHO , ambacho sasa ni dhahiri kinaominiwa na Wananchi wote.

Awali ni Vigogo wa Chama wakiwasili kwenye Makao Makuu ya Chama hicho Mikocheni, Dar es salaam

Screenshot_2024-05-11-13-02-10-1.png
Screenshot_2024-05-11-13-03-30-1.png
Screenshot_2024-05-11-13-02-30-1.png
Screenshot_2024-05-11-16-53-48-1.png


Usiondoke JF kwa Taarifa muhimu sana kuhusu kikao hiki
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Vigogo wa Chadema wako ndani ya Kikao kizito muda huu wakijadili masuala mbali mbali, ukiwemo mustakhabari wa Nchi .

Miongoni mwa Ajenda ni kuhusu Chaguzi za Kanda ambako Majina ya Wagombea yatapokelewa na kujadiliwa, bila ya shaka wako watakaochujwa.

Bali jambo kubwa linalosubiriwa ni DIRA YA TAIFA ITAKAYOTOLEWA NA CHAMA HICHO , ambacho sasa ni dhahiri kinaominiwa na Wananchi wote.

Awali ni Vigogo wa Chama wakiwasili kwenye Makao Makuu ya Chama hicho Mikocheni, Dar es salaam

View attachment 2987774View attachment 2987775View attachment 2987776

Usiondoke JF kwa Taarifa muhimu sana kuhusu kikao hiki
AISEE MAKAO MAKUU YA CHAMA KAMA UNAINGIA NYUMBANI KWA MTU HII NI OFISI AU MAKAZI YA JAAMAA FULANI?
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Vigogo wa Chadema wako ndani ya Kikao kizito muda huu wakijadili masuala mbali mbali, ukiwemo mustakhabari wa Nchi .

Miongoni mwa Ajenda ni kuhusu Chaguzi za Kanda ambako Majina ya Wagombea yatapokelewa na kujadiliwa, bila ya shaka wako watakaochujwa.

Bali jambo kubwa linalosubiriwa ni DIRA YA TAIFA ITAKAYOTOLEWA NA CHAMA HICHO , ambacho sasa ni dhahiri kinaominiwa na Wananchi wote.

Awali ni Vigogo wa Chama wakiwasili kwenye Makao Makuu ya Chama hicho Mikocheni, Dar es salaam

View attachment 2987774View attachment 2987775View attachment 2987776

Usiondoke JF kwa Taarifa muhimu sana kuhusu kikao hiki
Hivi siku mbowe akitemwa uenyekiti chadema na akachukua lisu bado hao makomando wataendelea kumlinda au kazi basi!!

Japo ni makomando wa mchongo
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Vigogo wa Chadema wako ndani ya Kikao kizito muda huu wakijadili masuala mbali mbali, ukiwemo mustakhabari wa Nchi .

Miongoni mwa Ajenda ni kuhusu Chaguzi za Kanda ambako Majina ya Wagombea yatapokelewa na kujadiliwa, bila ya shaka wako watakaochujwa.

Bali jambo kubwa linalosubiriwa ni DIRA YA TAIFA ITAKAYOTOLEWA NA CHAMA HICHO , ambacho sasa ni dhahiri kinaominiwa na Wananchi wote.

Awali ni Vigogo wa Chama wakiwasili kwenye Makao Makuu ya Chama hicho Mikocheni, Dar es salaam

View attachment 2987774View attachment 2987775View attachment 2987776

Usiondoke JF kwa Taarifa muhimu sana kuhusu kikao hiki
Ccm matumbo joto
Chama la Wana linainguruma
Utafikiri ndo wenye Dola

Ukiwa mwizi na fisadi wa Mali za umma utaishi kwa hofu tu.

Unatumia tiss kutengeneza migogoro I hewa

Unatumia hela za wananchi kuonga watu waunge mkono juhudi
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Vigogo wa Chadema wako ndani ya Kikao kizito muda huu wakijadili masuala mbali mbali, ukiwemo mustakhabari wa Nchi .

Miongoni mwa Ajenda ni kuhusu Chaguzi za Kanda ambako Majina ya Wagombea yatapokelewa na kujadiliwa, bila ya shaka wako watakaochujwa.

Bali jambo kubwa linalosubiriwa ni DIRA YA TAIFA ITAKAYOTOLEWA NA CHAMA HICHO , ambacho sasa ni dhahiri kinaominiwa na Wananchi wote.

Awali ni Vigogo wa Chama wakiwasili kwenye Makao Makuu ya Chama hicho Mikocheni, Dar es salaam

View attachment 2987774View attachment 2987775View attachment 2987776

Usiondoke JF kwa Taarifa muhimu sana kuhusu kikao hiki
dah
hiyo picha ya puppet, kuna namna itakua umefanya, ni makusudi kabisa sio bure bali kwa malengo mahususi ya kisiasa ambayo umekusudia kuyafikia 🤣🤣
 
Nika
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Vigogo wa Chadema wako ndani ya Kikao kizito muda huu wakijadili masuala mbali mbali, ukiwemo mustakhabari wa Nchi .

Miongoni mwa Ajenda ni kuhusu Chaguzi za Kanda ambako Majina ya Wagombea yatapokelewa na kujadiliwa, bila ya shaka wako watakaochujwa.

Bali jambo kubwa linalosubiriwa ni DIRA YA TAIFA ITAKAYOTOLEWA NA CHAMA HICHO , ambacho sasa ni dhahiri kinaominiwa na Wananchi wote.

Awali ni Vigogo wa Chama wakiwasili kwenye Makao Makuu ya Chama hicho Mikocheni, Dar es salaam

View attachment 2987774View attachment 2987775View attachment 2987776

Usiondoke JF kwa Taarifa muhimu sana kuhusu kikao hiki
Nikajua vigogo wapo Ccm tu kumbe hadi chadema kuna vigogo
 
Back
Top Bottom