Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 871
Kamati Kuu ya CHADEMA inatajiwa kufanya kikao chake kesho katika jimbo la Igunga.Kikao hicho ni maalum kwaajili ya kupitisha jina la mgombea Ubunge katika uchaguzi mdogo unaotarajiwa kuanza tarehe 7 Sept 2011. Vile vile kikao hicho kinatrajiwa kupitisha mkakati na bajeti ya uchaguzi huo katika kuhakikisha kuwa jimbo hili linachukuliwa na CHADEMA.
Dalili zote za awali zinaonesha kuwa jimbo hili kuchukuliwa na CHADEMA. Kutoka njiani Manyoni tukiwa tunaelekea Igunga. Nawasilisha.
Dalili zote za awali zinaonesha kuwa jimbo hili kuchukuliwa na CHADEMA. Kutoka njiani Manyoni tukiwa tunaelekea Igunga. Nawasilisha.