Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,651
- 218,131
Hii ndio Taarifa iliyosambazwa na Katibu Mkuu wa Chama hicho , Mh John Mnyika , ambapo pamoja na Mambo mengine ndani ya kikao cha Kamati Kuu hiyo ajenda mbalimbali zitajadiliwa.
Kikao hicho kitaongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho Mh Freeman Mbowe.
Kikao hicho kitaongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho Mh Freeman Mbowe.