Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,237
Taarifa hii imetolewa na Katibu Mkuu wa Chama hicho Mh John Mnyika alipokuwa anaongea na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani , kwenye Mkutano wake wa dharula aliouitisha Maalum.
Bado haijafahamika ajenda zitakazojadiliwa , lakini suala la Kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa chama hicho , akiwemo Mwenyekiti wao Freeman Mbowe , ambaye alivamiwa na kutekwa kisha kufichwa kusikofahamia linatarajiwa kuchukua nafasi kubwa.
Endelea kubaki hapahapa JF kwa taarifa za uhakika.
Bado haijafahamika ajenda zitakazojadiliwa , lakini suala la Kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa chama hicho , akiwemo Mwenyekiti wao Freeman Mbowe , ambaye alivamiwa na kutekwa kisha kufichwa kusikofahamia linatarajiwa kuchukua nafasi kubwa.
Endelea kubaki hapahapa JF kwa taarifa za uhakika.