Kamati Kuu ya CHADEMA iliyo kwenye kikao, itujibu maswali haya manne tu

Mambo ya jk lazima tuulize kwasababu Ni kiongozi WA nchi na sio kama chadema, wenyewe Ni chama Tu, na kama unataka hesabu zao tafta taarifa zao kwa cag
 
Acha kutupuuza wewe, tumechangia sana kwenye kapu lao ambalo walikuwa wakilitembeza wakati wa mikutano ya hadhara tuna haki ya kujua matumizi yake.

Sijakupuuzeni Ninachotaka Kujua Ni Hicho Nilichokiandika Ili Nijue Nazungumza Na Nani, Kama Ww Ulichangia Kwenye Kapu, Hizo Haziitaji Maswali, Hizo Zinaeleweka Kwa Ukipigwa Mkutano Mologolo, Hao Wanachangia Pesa Za Mafuta Kuwezasha Mkutano Unaofuata, Au Ulisikia Walisema Wakitoka Mbeya Wanakwenda Sumbawanga Wanaomba Mchango Wa Mafuta Mkatoa Alafu Hawakuenda Huko Walikosema?
 
MAJIBU
1.Familia ya Mwangosi inaendelea kusaidiwa
2.Mapato na matumizi ya chama yamekaguliwa na CAG na yameonekana yako sawa.
3.Vurugu kwenye maandamano zinaletwa na Policcm siyo CHADEMA. Kinana aliyeuwawa Morogoro hakuwa kwenye maandamano alifuatwa na Policcm akiuza magazeti wakamuua makusudi.
4.Maandamano hayafanyiki Kilimanjaro kwa kuwa huko walishajitambua hawako tena kwenye utawala WA mafisadi WA CCM. CCM kule ni chama cha upinzani ndiyo Chuwa wanaandamana huko.
5.Majimbo yanayoongozwa na CHADEMA maendeleo yako juu. Huwezi kwenda Moshi,Arusha,Ubungo, Kawe,Nyamagana,Iringa mjini,Mbeya Mjini,Hai,Arumeru au Ilemela ukakuta wanafunzi, walimu na watu wengine wanakunya vichakani kwa kukosa vyoo na wanakunywa maji dimbwi moja na ng'ombe kama huko Chalinze,Kishapu,Bunda,Katavi,Bumbuli,Urambo,Mchinga,Iramba na sehemu nyingine zinazoongozwa na vigogo WA magamba.
 
Elewa JK ni rais wa nchi na anawajibika kwa kila mtanzania akiwa ni rais wa nchi,lakini mambo ya CHADEMA ni kwa wana CHADEMA tu,sasa kama yeye ana maswali kwa kamati kuu ya CHADEMA,sisi wengine tusio na chama yanatusaidia nini? kitu kikubwa aulize maswali yanayotuhusu watu wote tusio na walio na vyama,kwa mfano ratiba ya uandikishwaji katika daftrari la kudumu la wapiga KURA kwa nchi nzima itatolewa lini? na mengine mengi..Usifikiri kila mtu anayekataa utumbo wake mtoa mada ni mwanachadema!!!

hivi hujui CDM inaendeshwa na kodi zetu wa TZ kupitia ruzuku ya kila mwezi?
Unafikiri kwa kutumia kiungo gani cha mwili?
 
Yaani niliposoma tu ID kuwa ni singidadodoma,wala sikujisumbua kusoma kinachofuata maana hiyo mikoa ndo ile ile sanasana hapo ungeongezea na pwani.
 
Hayo majimbo mengi siyajui lkn ubungo, usitudanganye bado wanafunzi wanakaa chini, maji machafu kuliko hayo ya chalinze uyoyasema.

Halaf hivyo vyoo vya shule za ubungo umeviona vimejaa kinyesi watoto wetu wanapata UTI, siku wakati hao unosema wanakunywa polini UTI, hamna.
 
Sawa inapata ruzuku,ila unadhani hapa JF ndio kwa kuulizia maswali yanahusu matumizi ya hiyo ruzuku?? Kazi ya ofisi ni nini? kama huwezi kwenda ofisi ya CHADEMA nenda kwa CAG basi,shida ya watu wengi wenye mawazo mgando wanachukulia mitandao ya kijamii ni kama mahakama zao maana kila kitu wanataka wapate majibu kwenye mitandao.Mwisho utakuja kugoogle mimba utapata lini au kuuliza hapa JF.!! Watch out.!! Nenda sehemu husika upate majibu sahihi..!


hivi hujui CDM inaendeshwa na kodi zetu wa TZ kupitia ruzuku ya kila mwezi?
Unafikiri kwa kutumia kiungo gani cha mwili?
 
Hayo majimbo mengi siyajui lkn ubungo, usitudanganye bado wanafunzi wanakaa chini, maji machafu kuliko hayo ya chalinze uyoyasema.

Halaf hivyo vyoo vya shule za ubungo umeviona vimejaa kinyesi watoto wetu wanapata UTI, siku wakati hao unosema wanakunywa polini UTI, hamna.
Wakati watoto wenu wanapata UTI kwa kunya hovyo ninyi wazazi wao mnashindana kunywa pombe na kununua magari ya kifahari!
 
Sawa inapata ruzuku,ila unadhani hapa JF ndio kwa kuulizia maswali yanahusu matumizi ya hiyo ruzuku?? Kazi ya ofisi ni nini? kama huwezi kwenda ofisi ya CHADEMA nenda kwa CAG basi,shida ya watu wengi wenye mawazo mgando wanachukulia mitandao ya kijamii ni kama mahakama zao maana kila kitu wanataka wapate majibu kwenye mitandao.Mwisho utakuja kugoogle mimba utapata lini au kuuliza hapa JF.!! Watch out.!! Nenda sehemu husika upate majibu sahihi..!

we dada ni mshenzi sana yaan unakataza mtu kuuliza maswali kwa chama kinachotumia ruzuku zetu,unajisahailisha kua sisi Kama walipa kodi tunapaswa kujua kodi zetu zinatumika vipi,hizo unazoziita ofic za chama ziko wap hebu nitajie mikoa 8 yenye ofic kila jimbo,na tukienda wote pale ufipa hali itakuaje?lakin pia kuna umuhimu gan kwa viongoz wa chama ambao wamo humu kuendelea kuwepo?nyie bavicha ni lini akili zenu zitajitegemea?mbona taifa hili limejaa shule/vyuo vingi sana, mnauzi kwa kwel aaaah
 
modrators wana ubaguzi kupita kiasi yani tumetuma uzi za maana zenye mustakbal kwa taifa wanaziondoa wanaacha mtu anaye uliza mapato na matumizi ya chadema tu vp ya ccm,nccr,cuf,act,nld,tadea,chauma,tlp,safina na vingnevyo au cdm ndo wana mapato tu
 
Futa kauli yako,mimi ni mwanaume mwenye ndevu,m..o na familia pia,sio mwanachama wa CHADEMA wala siijui sina uhusiano wowote na chama chochote cha siasa Tz.Post yangu ya kwanza nilisema kuwa naheshimu mawazo ya kila mtu,hata huyu aliyeuliza juu ya matumizi ya CHAFEMA,ila nimemshauri kwa nini asikite kuuliza mambo muhimu yanayotuhusu wengi wa watanzania walio na vyama na tusio na vyama.Ofisi za CHADEMA naamini ndi pekee zinazoweza kukupa matumizi ya CAHDEMA kwa miaka yote unayotaka,suala la viongozi wa CHADEMA kuwa member JF,sio kwamba kuwa member hapa ni kuja kujibu maswali yahusiyo PESA,inawezekana wengine hawadeal na MAPATO NA MATUMIZI,ndio maana kila ofisi inakuwa na watu wanaodeal na mambo hayo.Hivi wewe unadhani data za mapato na matumizi kila kiongozi anaweza kukupa? Kama unahitaji taarifa ni lazima uingie gharama ikiwezekana kwenda ofisini kwao au kuwatumia email,hakuna kitu cha bure ANGALIA UTAPUMULIWA........JIANGALIE UPYA KAMA WEWE NI WA KIUME AU WA KIKE NA KWA NINI UTUMIWE.NARUDIA TENA KUSEMA TUNA MENGI YA KUJUA LAKINI YAMEFICHWA!


we dada ni mshenzi sana yaan unakataza mtu kuuliza maswali kwa chama kinachotumia ruzuku zetu,unajisahailisha kua sisi Kama walipa kodi tunapaswa kujua kodi zetu zinatumika vipi,hizo unazoziita ofic za chama ziko wap hebu nitajie mikoa 8 yenye ofic kila jimbo,na tukienda wote pale ufipa hali itakuaje?lakin pia kuna umuhimu gan kwa viongoz wa chama ambao wamo humu kuendelea kuwepo?nyie bavicha ni lini akili zenu zitajitegemea?mbona taifa hili limejaa shule/vyuo vingi sana, mnauzi kwa kwel aaaah
 
wakati wa kikao cha halmashauri kuu cha chadema kikiendelea ni vema wakatupatia majimu haya

1) chadema iliahidi kuwasaidia watoto wa Mwagosi pamoja na mkewe watupe feed back kama hilo zoezi linaendelea au ilikuwa mbwembwe tu

2) watupe mahesabu ya kuanzia mwaka 2010 baada ya uchaguzi na mpaka sasa, mapato na matumizi,

3) kwanini chadema kimekuwa chama cha vurugu na maandamano ambayo husababisha watu kupoteza maisha na wengine kupata vilema vya kudumu halafu chama hakiwasaidii, akiwemo yule kijana aliyekufa morogoro familia yake inateseka kutoka na kijana wao kupoteza maisha na ndiye aliyekuwa tegemeo lao.

4) kwannii maandamno huwa hayafanyiki Kilimanjaro yanafanyika sehemu nyingine kama Aryusha, Morogoro, Iringa na sehemu zingine.

5) mwisho watueleze mafanikio ya majimbo yao yote ya uchaguzi pamoja na kata zao walizoshinda katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010,

Bila kusahau vile visima vya SABODO, tunajua pesa mzee alitoa.

Acha kutupuuza wewe, tumechangia sana kwenye kapu lao ambalo walikuwa wakilitembeza wakati wa mikutano ya hadhara tuna haki ya kujua matumizi yake.

Mleta thread pamoja na mpambe wako mna matatizo makubwa saana ya Akili. Chakula cha Watoto huwa hatuwapi Mbwa,huwa tunawapa Watoto,nyie si Watoto kwetu! Very strange,mmetumia Akili au Matope kuja na huu uzi?Naihurumia nchi yangu Tanzania kwani ina Vilaza asilimia Kubwa,nao wanajiona ndiyo wajenzi wa nchi hii!
 
Cha kushangaza yuko mitandaoni saa zote wakati Wizara ya Fedha iko taabani.

Wewe Ninani Mpaka Upewe Hesabu Za Mapato Na Matumizi? Ulichangia Kias Gani? Je? Wewe Ndio Msemaji Wa Hizo Familia, Kadi Yako Ya Chadema Ni Namba Ngapi? Je? Unaifaham Katiba Ya Chama? Kabla Haujajibiwa Nijibu Kwanza Haya Maswali Machache Na Mepes Alafu Nitakujibu Maswali Yako.
 
Sijakupuuzeni Ninachotaka Kujua Ni Hicho Nilichokiandika Ili Nijue Nazungumza Na Nani, Kama Ww Ulichangia Kwenye Kapu, Hizo Haziitaji Maswali, Hizo Zinaeleweka Kwa Ukipigwa Mkutano Mologolo, Hao Wanachangia Pesa Za Mafuta Kuwezasha Mkutano Unaofuata, Au Ulisikia Walisema Wakitoka Mbeya Wanakwenda Sumbawanga Wanaomba Mchango Wa Mafuta Mkatoa Alafu Hawakuenda Huko Walikosema?

Achana na huyo mpuuzi, hajawahi kuchangia,achangie kwa mapenzi yapi aliyonayo kwa cdm?Labda humfahamu,ila kukusaidia angalia avater yake na uitafsiri!
 
wakati wa kikao cha halmashauri kuu cha chadema kikiendelea ni vema wakatupatia majimu haya

1) chadema iliahidi kuwasaidia watoto wa Mwagosi pamoja na mkewe watupe feed back kama hilo zoezi linaendelea au ilikuwa mbwembwe tu

2) watupe mahesabu ya kuanzia mwaka 2010 baada ya uchaguzi na mpaka sasa, mapato na matumizi,

3) kwanini chadema kimekuwa chama cha vurugu na maandamano ambayo husababisha watu kupoteza maisha na wengine kupata vilema vya kudumu halafu chama hakiwasaidii, akiwemo yule kijana aliyekufa morogoro familia yake inateseka kutoka na kijana wao kupoteza maisha na ndiye aliyekuwa tegemeo lao.

4) kwannii maandamno huwa hayafanyiki Kilimanjaro yanafanyika sehemu nyingine kama Aryusha, Morogoro, Iringa na sehemu zingine.

5) mwisho watueleze mafanikio ya majimbo yao yote ya uchaguzi pamoja na kata zao walizoshinda katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010,

Hapo swali la msingi linalostahili majibu ni namba 1 na 4 hayo mengine ni upuuzi au lbd umetumwa!
 
Back
Top Bottom