Gamba la Chuma
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,243
- 340
Ni kweli kabisa, muhimu kuwa na watu wapya
ila mkwere sio chaguo lake kabisaa
Hawezi kupita...wabunge watamchagua mbunge mwenzako tu.
Habari wana J.f
Baada ya kutoka majina matatu ndani ya ccm ya kugombea uspeaker nilichogundua Ukawa wanajifanya wanataka speaker awe dr Tulia Ackson ili wasibanwe na kutolewa nje na ndugai.
Aisee Mmechemsha mwaka huu
Spika hapo ni JOB NDUNGAI
.....ni kigogo yupi huyo anaepiga dudu mkuu??....naona pia kwenye list kuna jina la mtoto wa Mzee mwinyi....awa jamaa bado wanaendeleza "nepotism"pamoja na kupigiwa kelele mno kwenye utawala ulioondoka....Ngoja tusubiri uteuzi wa mawaziri....kuona pia ni watoto gani wa vigogo watakuwemo....hawa ccm na 'nepotism' imekua ni gonjwa lisilopona...
Ili Rais Dr JPMAGUFULI afanikiwa katika azma yake ya kuleta uadilifu serikalini bunge la 11 linatakawa Kamsaidia kikamilifu. Kwa hiyo ni vena liwe na spika mwenye ujuzi na weledi wa sheria na asiye na kasumba na ukakasi wa bunge lililopita. Nina imani ukawa pia watampa kura nyingi dada Dr Tulia Atsob.
Alijiunga lini na ccm wakati ni mwanasheria mkuu? hana uzoefu wowote