Maskini Jeuri
Member
- May 9, 2011
- 80
- 11
<br />Kwa taarifa za humu? au umeenda mbali zaidi kujiridhisha katika kutafuta ukweli? subiri dk chache watu watakavyo kuja kumeza matapishi yao maana taarifa nyingi hapa ni speculation.
Ndugu yangu Mizizi naomba ufafanuzi kidogo.
Humo ndani ya kikao cha kamati kuu siku hizi kuna wajumbe waalikwa?
Maana kwa nijuavyo, Si Lowasa, Chenge, wala Membe ambao ni wajumbe wa Kamati Kuu.
Chenge aliwahi kuwa Mwenyekiti wa kamati ya Maadili siku za nyuma, lakini kwa kanuni mpya za maadili CCM za February 2010, Mwenyekiti ni rais na wajumbe wote ni lazima wawe members wa Kamati Kuu.
Sasa napata tabu kukufuatilia, maana mara unasema Guninita haungi mkono hoja za Nape, mara Chenge kaonesha dharau za wazi kwa mwenyekiti, mara Lowasa yupo kimya wanamsemea wengine. Yani haya yote ni ndani ya kikao au vipi?
Maana kwenye wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM sioni majina ya Lowasa, Chenge, Guninita, Membe etc etc
katiba ya ccm haisemi chochote kuhusu kuwepo au kutowepo waalikwa. Nadhani kuwapo kwao ni FIKRA SAHIHI ZA MWENYEKITI WA CCM.
alwatan
jf imekuwa chuo cha kuwadanganya wasioelewa.
wajumbe wote watajwa hapo juu hawako cc lakini hawa wasoma vyuo vya kata hapa jf wanapiga makofi pwaaaa.
wajumbe wa kamati kuu hawa hapa
1. Ndugu Jakaya Mrisho KIKWETE Mwenyekiti
2. Ndugu Pius MSEKWA - Makamu Mwenyekiti (Bara)
3. Ndugu Amani Abeid Amani KARUME - Makamu Mwenyekiti(Zanzibar)
4. Ndugu Wilson MUKAMA - Katibu Mkuu
5. Capt. (mst) John Zefania CHILIGATI - Naibu Katibu Mkuu (Bara)
6. Ndugu Vuai Ali VUAI - Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar)
7. Dr. Ali Mohamed SHEIN Mjumbe
8. Ndugu Mizengo Kayanza PINDA Mjumbe
9. Alhaj Ali Hassan MWINYI Mjumbe
10. Ndugu Benjamin William MKAPA - Mjumbe
11. Dr. Salmin AMOUR Mjumbe
12. Ndugu John Samwel MALECELA Mjumbe
13. Ndugu Nape NNAUYE - Mjumbe
14. Ndugu Mwigulu MCHEMBA - Mjumbe
15. Ndugu January MAKAMBA Mjumbe
16. Ndugu Asha Abdallah JUMA Mjumbe
17. Dr. Hussein Ali MWINYI
18. Dr. Maua Abeid DAFTARI
19. Ndugu Samia Suluhu HASSAN
20. Ndugu Omar Yussuf MZEE
21. Prof. Makame Mnyaa MBARAWA
22. Ndugu Mohammed Seif KHATIB
23. Ndugu Shamsi Vuai NAHODHA
24. Ndugu Abdulrahaman KINANA
25. Ndugu Zakiah Hamdani MEGHJI
26. Ndugu Abdallah Omar KIGODA
27. Ndugu Pindi Hazara CHANA
28. Ndugu Steven Masatu WASSIRA
29. Ndugu Constansia BUHIE
30. Ndugu William LUKUVI
kuna mibaba inadanganya jf bila kuona haya.
mizizi wewe soma tu huo ujumbe mwingine. membe alikaa kimya hakusema kitu. membe sio mjumbe. je aliitwa halafu akawa hawezi kusema kitu. lowasa haongei bali anaongelewa na watu. ameitwa na mwenyekiti kujitetea akawa haongei na anaongelewa na watu. lowasa angekuwa mjumbe ningeelewa lakini si mjumbe. hiyo taarifa imepikwa kwa mabua ya mahindi. haijaiva kabisa.Ulichosema ni kweli, ila kumbuka hiki ni kikao kilichojadili hatima za watu, kwahiyo wajadiliwa ilibidi lazima waitwe na kusikilizwa kwa maslahi ya chama chao na taratibu zao.
Kwa mfano, suala la Igunga, Rostam ameshirikishwa kwa kiasi kikubwa, na amepewa kazi kubwa ilibidi lazma aitwe.
Kwahiyo hakuna uongo hapa mkuu.
Labda wewe mwona karibu ndio unakurupuka kutoa matusi
six alikuwa anatoa siri za vikao. kaachwa nje ya cc huko sasa hata fmes hawezi kupata habri.duh ..jamaaa kweli wamewadhibiti....yaani hakuna hata ka habari kadogo reliable kalikovuja?
Naona BMW amechoshwa na taarabu anahitaji matendo. Ameona asipoteze muda (hamna maamuzi magumu). By the way, Chenge akiachia ngazi sote lakini sio ubunge inamaanisha nini? Does it mean ubunge hauhitaji mtu safi; au wenye chama wata-spin waseme alichaguliwa na wananchi hivyo ni wananchi wenyewe wanatakiwa wamkatae. Mmh!! Hii dhana ya gamba sijaielewa sawa sawa.
<br />six alikuwa anatoa siri za vikao. kaachwa nje ya cc huko sasa hata fmes hawezi kupata habri.<br />
<br />
sosi ya habari za fmes sio mzee malecela. mama kilango alikuwa sosi baada ya kuambiwa na sita.<br />
<br />
malecela noma anamficha hata mkewe.<br />
<br />
milango yote imefungwa hiyo jf mlie tu. subirini nec sita na wenzake watatoa siri
Taarifa kutoka ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) zinasema tayari chama hicho kimepanga kumuita Rostam katika mkutano wa Kamati Kuu (CC) uliopangwa kufanyika 30 Julai 2011 kwa lengo la kumwangukia. MwanaHalisi.
Nini kimejiri, amekubali kuhudhuria au kagoma tutaarifiane hapa jamvini.
nape ana kila sababu za kulinda chama kuliko kuwalinda wagombea 2015. pia yeye ndiye wa kuyatoa maamuzi nje. hawezi kuvujisha siri tena. cc imejaa wazanzibari. hao sio waropokaji kama wabara. kwasasa kupata habari za vikao vya cc itakuwa ngoma nzito. subirini nec huko mtapata watu wa kuvujisha siri.<br />
<br />
kwani Nape hayumo humo ndani?
nape ana kila sababu za kulinda chama kuliko kuwalinda wagombea 2015. pia yeye ndiye wa kuyatoa maamuzi nje. hawezi kuvujisha siri tena. cc imejaa wazanzibari. hao sio waropokaji kama wabara. kwasasa kupata habari za vikao vya cc itakuwa ngoma nzito. subirini nec huko mtapata watu wa kuvujisha siri.