Kamati kuu ya CCM trh 30.7.2011

Kwa taarifa za humu? au umeenda mbali zaidi kujiridhisha katika kutafuta ukweli? subiri dk chache watu watakavyo kuja kumeza matapishi yao maana taarifa nyingi hapa ni speculation.
<br />
<br />
Nduka

Hivi Yule Jamaa alikuambia jina lako kwenye lugha ya kwao ni nini vile?
 
katiba ya ccm haisemi chochote kuhusu kuwepo au kutowepo waalikwa. Nadhani kuwapo kwao ni FIKRA SAHIHI ZA MWENYEKITI WA CCM.
 
Mpaka sasa sijapata picha kamili ya yalichojili CC. Now I can see the gap hapa JF when MS, FMES wasipojitokeza kwenye habari za CCM.
 

soma post zingine za nyuma ndio uandike.
 
katiba ya ccm haisemi chochote kuhusu kuwepo au kutowepo waalikwa. Nadhani kuwapo kwao ni FIKRA SAHIHI ZA MWENYEKITI WA CCM.

hata rostam alikuwepo na si mjumbe, wote waliingia badae
 
ngoja nimalizie hii taarifa hapa halafu nije rasmi janvini......naona kuna mchanganyiko wa habari hapa jf juu ya kikao cha jana na upotoshwaji mkubwa...
 

Ulichosema ni kweli, ila kumbuka hiki ni kikao kilichojadili hatima za watu, kwahiyo wajadiliwa ilibidi lazima waitwe na kusikilizwa kwa maslahi ya chama chao na taratibu zao.
Kwa mfano, suala la Igunga, Rostam ameshirikishwa kwa kiasi kikubwa, na amepewa kazi kubwa ilibidi lazma aitwe.
Kwahiyo hakuna uongo hapa mkuu.
Labda wewe mwona karibu ndio unakurupuka kutoa matusi
 
jamani na member wote humu JF HAKUNA undercover kwenye hyo CC
 
mizizi wewe soma tu huo ujumbe mwingine. membe alikaa kimya hakusema kitu. membe sio mjumbe. je aliitwa halafu akawa hawezi kusema kitu. lowasa haongei bali anaongelewa na watu. ameitwa na mwenyekiti kujitetea akawa haongei na anaongelewa na watu. lowasa angekuwa mjumbe ningeelewa lakini si mjumbe. hiyo taarifa imepikwa kwa mabua ya mahindi. haijaiva kabisa.
 
duh ..jamaaa kweli wamewadhibiti....yaani hakuna hata ka habari kadogo reliable kalikovuja?
 
nape amelahidi kuongea na media saa tano leo. sasa ni saa sita mchana!!!!!!!!!!!!!
Sirikali
 
duh ..jamaaa kweli wamewadhibiti....yaani hakuna hata ka habari kadogo reliable kalikovuja?
six alikuwa anatoa siri za vikao. kaachwa nje ya cc huko sasa hata fmes hawezi kupata habri.

sosi ya habari za fmes sio mzee malecela. mama kilango alikuwa sosi baada ya kuambiwa na sita.

malecela noma anamficha hata mkewe.

milango yote imefungwa hiyo jf mlie tu. subirini nec sita na wenzake watatoa siri
 

CCM ili boogie step kuwasimamisha kwenye ubunge watu wenye questionable scandals kama hawa.

Mtu ukishachaguliwa na wananchi, chama kukuvua ubunge njia pekee inayoweza ku make sense ni kukuvua uanachama kabisa.

Ndiyo maana hata Rostam -scandalous as he is- nilisema angejiuzulu vyeo vyake chamani lakini amalize kazi aliyoahidi kwa watu waliomchagua.

Uongozi wa CCM ukitaka kuwavua ubunge hawa watu utakuwa unatuambia kwamba hauaoni mbali zaidi ya pua . Kwa nini umsimamishe mtu kugombea ubunge, umpigie kampeni kwa wananchi halafu umfukuze kwa sababu ya rushwa iliyojulikana kabla ya kampeni na uchaguzi?
 
<br />
<br />
kwani Nape hayumo humo ndani?
 

Ikiwa Rostum atakubali ombi hilo la wanamagamba hakika yeye ndo atakuwa mwanasiasa uchwara kuwahi kutokea tangu kuundwa kwa msingi wa dunia hii..."
 
<br />
<br />
kwani Nape hayumo humo ndani?
nape ana kila sababu za kulinda chama kuliko kuwalinda wagombea 2015. pia yeye ndiye wa kuyatoa maamuzi nje. hawezi kuvujisha siri tena. cc imejaa wazanzibari. hao sio waropokaji kama wabara. kwasasa kupata habari za vikao vya cc itakuwa ngoma nzito. subirini nec huko mtapata watu wa kuvujisha siri.
 

Naona leo umewapumzikia chadema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…