Kamati Kuu ya CCM - Mtego unasao?

Kamati Kuu ya CCM - Mtego unasao?

Lowassa anaelekea kwenye kapu la historia. Sidhani kama anao ujasiri wa kujiunga na chama cha upinzani (most likely CHADEMA). Lakini akifanya hivyo kuna kila dalili akakisumbua sana CCM kule Monduli kama ilivyo kwa Slaa hivi sasa. Je CHADEMA wako tayari kumpokea? Watawaeleza nini wananchi?

Ni jambo la kusubiri na kuona!

...Kwa siasa za tanzania hilo kamwe halitokei. maana chama dume ni kama banda lifugao alligators ambapo wakishakomaa wanaingizwa kwenye mbuga ya kondoo wakajilishe huko.
sahau sahau kabisa kwamba mtu asiyefaa kama white head atafutika. anarudi tena kwa kasi ya ajabu. Mnakumbuka waliokusanyika nae majuzi kati ktk uzinduzi wa diary ya mkewe? unakumbuka maaskofu walisema nini?
tuna safari ndefu saaaana kuelekea tusikokujua
 
Huu mtego naona wala haunasi.. ni kama mtego wa bui bui ambao unashindwa kunasa hata nzi!

....mkuu itabidi itumike ile fomula ya mwizi wa mbuzi aliyetumia mtego wa kiatu.
halafu kumbuka kuna mti unaitwa mkenge ambao huwa unaota pembezoni mwa njia. tuvute subira
 
My bet ni kuwa we may be expecting a lot from CC. After all, it is not in their interst to appear they have done anything extraordinary to their long term cadre. They know this and they will avoid that at all costs, even if anything really happened. Remember how they all dissapeared from Dodoma following fate of Kolimba?
EL will still be a force to reckon with, due to his position, connections and sentiments, and most importantly due to his stubbonness (ego) and self conviction. The question is: how and when they (CCM) will be bold enough to re-introduce him as a "born-again" politician.
 
Lakini Kaka yangu Mzee Mwanakijiji alimshauri aanze kuonekana kwenye washa na karibu na JK, tuomeona alikwenda kufungua mradi wa maji kule Shiyanga na Jk kumwangia sifa kibao na baba yangu Ben, Ataanza utayaona mwakani, Maana labda anajipanga vizuri kwa ajili ya kurudisha mashambuliza, Siwezi kuwaza kuwa EL ametulia na kulalama kuwa alionewa mpaka anataka kulia siku ile kuwa Bungeni??
 
Mama Sophia Simba(SS), nyota mpya ya kike inayong'ara sana sasa kwenye siasa za CCM na Tanzania amesema hakuna hata senti moja iliyolipwa RICHMOND. EL kaiba wapi jamani? 2010 atarudi kwa nguvu zote na huenda akarudishiwa nyadhifa zake zote!
 
As I noted in one of my posts,one of EL's chronic problems is putting emotions infront of common sense.Huyu jamaa kwa "kuwaka" hajambo.Ni kama anam-underestaimate kila mtu.Pengine ni jeuri ya fedha,pengine ni obsession yake na kumrithi JK.

Only way to control this unguided missile ni kwa JK kuweka urafiki (kama bado upo) kando,na kumvaa mshkaji wake kwamba spidi yake ya 240 kwenye wrong lane itapelekea ajali.Nadhani kuna kila dalili ya EL kuja na "mtandao mpya" utakaojumuisha RA,Karamagi na mafisadi wengine.

JK,you have been warned!
Daah! Mkuu uliona mbali...ESP hapo kwa RA, Karamagi.

Ndo burdani ya JF hii...
 
As I noted in one of my posts,one of EL's chronic problems is putting emotions infront of common sense.Huyu jamaa kwa "kuwaka" hajambo.Ni kama anam-underestaimate kila mtu.Pengine ni jeuri ya fedha,pengine ni obsession yake na kumrithi JK.

Only way to control this unguided missile ni kwa JK kuweka urafiki (kama bado upo) kando,na kumvaa mshkaji wake kwamba spidi yake ya 240 kwenye wrong lane itapelekea ajali.Nadhani kuna kila dalili ya EL kuja na "mtandao mpya" utakaojumuisha RA,Karamagi na mafisadi wengine.

JK,you have been warned!

Comment yako ni ya mwaka 2008..

Na ndo kinachotokea leo..
 
Lowasa ni jipu, ukitumbua vibaya utachafuka wewe, linahitaji timing sana
 
Back
Top Bottom